Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Acheni wivu. Huu ni muda wa kufanya kazi, vijana wapate ubaloziUkiona hivyo ujue siyo size yako au wewe ni sukuma gang
Steve nyerere, mwijaku ni wawakilishi wazuri. Pooor pooor you
Acheni wivu. Huu ni muda wa kufanya kazi, vijana wapate ubaloziUkiona hivyo ujue siyo size yako au wewe ni sukuma gang
Ukiskia wivu wa kike ndio huo. Na nyie si mpewe uwakilishi huko ufipa au muwe madjNi kupinga watu duni kupewa uwakilishi wa jambo /mambo/kitu , kama hao waliopachikwa kwenye Royal Tour
Kwa nini unasema ushamba wa awamu ya tano? Unadhani mawazi yako yana maana sana.?Hivi nani aliwaambia kuwa mtu akiwa maarufu kwenye bongo Flava anaweza kushawishi watu kwa kuwa balozi kwenye kila jambo? Au msanii wa mipasho, movie hizi mbovu na hata hii Sanaa mpya ya "kuchambana"?
Huu ulikuwa ushamba wa awamu ya tano na ulikwama sana maana walipewa ubalozi hata watu wasio juwa hata wanachokisemea.
Tabia hii haitufikishi popote kama mhamasishaji hajui kuwa Mount Kilimanjaro iko mkoa gani.
Eti watu kama Shilole au Steve wana pewa nafasi kuisemea Royal Tour? Huo sii uharibifu wa pesa!
Au kwa vile wanatumika kuisifia CCM basi ni malipo kwao? Hebu huu ushamba wa awamu ya tano sasa tuachane nao tuwe advance kidogo na kuacha ujingaView attachment 2205641
Kweli Jiwe anaishi. Yaani wafanye serikali yako pendwa umlaani jiwe.Ulaaniwe Jiwe huku ulipo na mashetani wako.
Steve NyerereAcheni wivu. Huu ni muda wa kufanya kazi, vijana wapate ubalozi
Steve nyerere, mwijaku ni wawakilishi wazuri. Pooor pooor you
Actually mambo ya kijinga kabisa.Bado naona hii issue ya ubalozi ni petty issue tu, Ni sawa na kipindi kile watu walivyokomalia Steve kuteuliwa sijui kuwa Msemaji. Aaarrghh sio issue ambayp jamii ilipaswa kukomaa vile ,ikiwa Kuna report ya upotevu wa mabilioni iliyopaswa kukomaliwa.
Kama hapo juu kuna hiyo habari ya Tanesco kupiga hiyo bil 60, hapo ndio jamii inapaswa ikomalie kujua imekuwaje.
Ni mambo ya kijinga tuu ya magazeti uchwaraHivi nani aliwaambia kuwa mtu akiwa maarufu kwenye bongo Flava anaweza kushawishi watu kwa kuwa balozi kwenye kila jambo? Au msanii wa mipasho, movie hizi mbovu na hata hii Sanaa mpya ya "kuchambana"?
Huu ulikuwa ushamba wa awamu ya tano na ulikwama sana maana walipewa ubalozi hata watu wasio juwa hata wanachokisemea.
Tabia hii haitufikishi popote kama mhamasishaji hajui kuwa Mount Kilimanjaro iko mkoa gani.
Eti watu kama Shilole au Steve wana pewa nafasi kuisemea Royal Tour? Huo sii uharibifu wa pesa!
Au kwa vile wanatumika kuisifia CCM basi ni malipo kwao? Hebu huu ushamba wa awamu ya tano sasa tuachane nao tuwe advance kidogo na kuacha ujingaView attachment 2205641
Hoja yako ni nzuri, na ingependeza zaidi kama usingehusisha hicho kilichofanyika na awamu ya tano, sidhani kama hayo yalikuwa yakifanyika awamu ya tano tu.Hivi nani aliwaambia kuwa mtu akiwa maarufu kwenye bongo Flava anaweza kushawishi watu kwa kuwa balozi kwenye kila jambo? Au msanii wa mipasho, movie hizi mbovu na hata hii Sanaa mpya ya "kuchambana"?
Huu ulikuwa ushamba wa awamu ya tano na ulikwama sana maana walipewa ubalozi hata watu wasio juwa hata wanachokisemea.
Tabia hii haitufikishi popote kama mhamasishaji hajui kuwa Mount Kilimanjaro iko mkoa gani.
Eti watu kama Shilole au Steve wana pewa nafasi kuisemea Royal Tour? Huo sii uharibifu wa pesa!
Au kwa vile wanatumika kuisifia CCM basi ni malipo kwao? Hebu huu ushamba wa awamu ya tano sasa tuachane nao tuwe advance kidogo na kuacha ujingaView attachment 2205641
Mwambie mamako awafyeke sasa! Au anasubiri nini?Bado kuna sukuma gang wapo kwenye uongozi. Inabidi yafyekelewe mbali yote kwanza ndiyo tutakuwa vizuri.
Jiwe analaaniwa na kila mtu mwenye akili timamuKweli Jiwe anaishi. Yaani wafanye serikali yako pendwa umlaani jiwe.
Hivi kuna ujinga au uovu gani ambao haukufanyika awamu ya Jiwe?Hoja yako ni nzuri, na ingependeza zaidi kama usingehusisha hicho kilichofanyika na awamu ya tano, sidhani kama hayo yalikuwa yakifanyika awamu ya tano tu.
Sina ukaribu na Mama wala cheo au kazi yoyote serikalini. Kama atasoma hapa basi inatosha. Mama toa sukuma gang wote kwenye system, watakuharibia kwa ushamba wao na umasikini.Mwambie mamako awafyeke sasa! Au anasubiri nini?
Mastaa wa bongo movie hawana uwezo wa kufanya mambo ya kisomi. Ndio jamii tuliyonayo kwa sasa, ujanja ujanja mwingi na mtu ndio anakuwa staa maarufu.Hivi nani aliwaambia kuwa mtu akiwa maarufu kwenye bongo Flava anaweza kushawishi watu kwa kuwa balozi kwenye kila jambo? Au msanii wa mipasho, movie hizi mbovu na hata hii Sanaa mpya ya "kuchambana"?
Huu ulikuwa ushamba wa awamu ya tano na ulikwama sana maana walipewa ubalozi hata watu wasio juwa hata wanachokisemea.
Tabia hii haitufikishi popote kama mhamasishaji hajui kuwa Mount Kilimanjaro iko mkoa gani.
Eti watu kama Shilole au Steve wana pewa nafasi kuisemea Royal Tour? Huo sii uharibifu wa pesa!
Au kwa vile wanatumika kuisifia CCM basi ni malipo kwao? Hebu huu ushamba wa awamu ya tano sasa tuachane nao tuwe advance kidogo na kuacha ujinga
View attachment 2205641
Ndege wafananao huruka pamoja.Hivi nani aliwaambia kuwa mtu akiwa maarufu kwenye bongo Flava anaweza kushawishi watu kwa kuwa balozi kwenye kila jambo? Au msanii wa mipasho, movie hizi mbovu na hata hii Sanaa mpya ya "kuchambana"?
Huu ulikuwa ushamba wa awamu ya tano na ulikwama sana maana walipewa ubalozi hata watu wasio juwa hata wanachokisemea.
Tabia hii haitufikishi popote kama mhamasishaji hajui kuwa Mount Kilimanjaro iko mkoa gani.
Eti watu kama Shilole au Steve wana pewa nafasi kuisemea Royal Tour? Huo sii uharibifu wa pesa!
Au kwa vile wanatumika kuisifia CCM basi ni malipo kwao? Hebu huu ushamba wa awamu ya tano sasa tuachane nao tuwe advance kidogo na kuacha ujinga
View attachment 2205641
Wafyekeni tuuuuuBado kuna sukuma gang wapo kwenye uongozi. Inabidi yafyekelewe mbali yote kwanza ndiyo tutakuwa vizuri.
Kwani kuwa balozi lazima uwe na utaalamu wa hiyo fani ?...mbona huko duniani watu maarufu hasa wacheza filamu, wanamichezo, Wana muziki hupewa ubalozi mfano wa kupambana na malaria, kupinga ujangili n.kHivi nani aliwaambia kuwa mtu akiwa maarufu kwenye bongo Flava anaweza kushawishi watu kwa kuwa balozi kwenye kila jambo? Au msanii wa mipasho, movie hizi mbovu na hata hii Sanaa mpya ya "kuchambana"?
Huu ulikuwa ushamba wa awamu ya tano na ulikwama sana maana walipewa ubalozi hata watu wasio juwa hata wanachokisemea.
Tabia hii haitufikishi popote kama mhamasishaji hajui kuwa Mount Kilimanjaro iko mkoa gani.
Eti watu kama Shilole au Steve wana pewa nafasi kuisemea Royal Tour? Huo sii uharibifu wa pesa!
Au kwa vile wanatumika kuisifia CCM basi ni malipo kwao? Hebu huu ushamba wa awamu ya tano sasa tuachane nao tuwe advance kidogo na kuacha ujinga
View attachment 2205641
Yalianzia kipindi hicho tu? Inaonekana hufuatilii mambo.Hivi kuna ujinga au uovu gani ambao haukufanyika awamu ya Jiwe?
OvaKama Kingwangwala alivyowajaza eti anatangaza utalii. Viongozi wakitokea vijijini ni hatari sana.
Ndiyo. Kama hutaki ufuate ushauri wa ZITTO. Na u.sikilize mzee wasira! Kwani watakajeAwamu ya tano si imekufa na mama yuko vizuri na anaupiga mwingi