Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,145
Hivi nani aliwaambia kuwa mtu akiwa maarufu kwenye bongo Flava anaweza kushawishi watu kwa kuwa balozi kwenye kila jambo? Au msanii wa mipasho, movie hizi mbovu na hata hii Sanaa mpya ya "kuchambana"?
Huu ulikuwa ushamba wa awamu ya tano na ulikwama sana maana walipewa ubalozi hata watu wasio juwa hata wanachokisemea.
Tabia hii haitufikishi popote kama mhamasishaji hajui kuwa Mount Kilimanjaro iko mkoa gani.
Eti watu kama Shilole au Steve wana pewa nafasi kuisemea Royal Tour? Huo sii uharibifu wa pesa!
Au kwa vile wanatumika kuisifia CCM basi ni malipo kwao? Hebu huu ushamba wa awamu ya tano sasa tuachane nao tuwe advance kidogo na kuacha ujinga
Huu ulikuwa ushamba wa awamu ya tano na ulikwama sana maana walipewa ubalozi hata watu wasio juwa hata wanachokisemea.
Tabia hii haitufikishi popote kama mhamasishaji hajui kuwa Mount Kilimanjaro iko mkoa gani.
Eti watu kama Shilole au Steve wana pewa nafasi kuisemea Royal Tour? Huo sii uharibifu wa pesa!
Au kwa vile wanatumika kuisifia CCM basi ni malipo kwao? Hebu huu ushamba wa awamu ya tano sasa tuachane nao tuwe advance kidogo na kuacha ujinga