Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Kwahiyo ni sahihi kumpanda mwanamke kwa njia ya kutolea haha kubwa?
Kama anakula hela zako panda, kama anapenda hela panda
Kwahiyo ni sahihi kumpanda mwanamke kwa njia ya kutolea haha kubwa?
ChugaHio ni misiba ya mkoa gani ambapo ma tom boy,wanajitenga na wanawake wenzao?
Hivi kama mtu kaamua kupenda tigo ni kosa? Kukataa mimba na kutelekeza kuna mengi nyuma yake au kaamua tuu lakini si kuna sheria za kufuatwa.?Na wanaume wapenda tigo,wanaume wakataaji mimba na kutelekeza
Wote ni hao hao tu, mwanaume kumwingilia mwanaume mwenzako sio tu ni ubasha, bali shoga.Na katika ushoga ni kama umeongelea kundi moja, wakati kuna makundi mawili ndani ya kundi moja, ma bottom(senge) na ma top(basha).
Na ushoga mtu anakuwa ameamuaHivi kama mtu kaamua kupenda tigo ni kosa? Kukataa mimba na kutelekeza kuna mengi nyuma yake au kaamua tuu lakini si kuna sheria za kufuatwa.?
Wanakua wana nyodo sana
Ndio mtu kaamua mwenyewe sasa tumfanyeje au tumuueNa ushoga mtu anakuwa ameamua
Hiyo namba mbili; Wanawake wanapenda pesa za wanaume kuliko kufanya kazi, acha wafi..r..we tu. Na mimi nasema muwa..fi..re tu, maana ndicho walichokichagua.Habari!
Kuna makundi 2 kama si 3 yamesahaulika ingawa wanachokitenda hakina utofauti na ushoga.
1. Wanawake wenye tabia za kiume
Hili kundi limekuwa kubwa sana na linakua kwa kasi. Vibinti vinavaa suruali, t-shirt, na nguo zingine za kiume. Hawa hata misibani hawakai kwa wanawake wenzao. Wanaboa sana hawa watu.
2. Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile
Hili halina utofauti na ushoga, tena yawezekana ni baya zaidi ya ushoga, maana njia ya kuwaingilia ipo ila mwanaume aidha kwa tamaa yake au tamaa ya mwanamke wanaiacha ile njia na kubuni njia yao. Jamii hawalichukulii kwa uzito kwakuwa ni wanawake, maana wanaume ndio wapiga kelele.
3. Usagaji
Hili suala pia ni tatizo kama ushoga ila kwakuwa linafanywa na wanawake basi halipigiwi kelele. Mapenzi ni baina ya jinsia 2 tofauti na si vinginevyo.
Je, jamii imezibagua hizi dhambi na kuzicategory?
Je, jamii imejaa unafiki kwa kuibariki dhambi hii na kuikemea dhambi ile?
Ushoga ni mbaya tena sana, unaondoa utu wa mtu ila hauna utofauti na usagaji na hawa mabinti sijui mnawaita ma tomboy ambao wanaikimbia jinsia yao.