Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 525
Watanzania wengi wana kaushamba ka kutoa maoni kwenye mitandao ya kijamii.
Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran
Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya
Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za ngono etc.
Sehemu Pekee wanacomment kwa adabu ni post za Vifo vya ajali hususan ajali za barabaran
Lakini post nyingine zote wanatoa maneno ya chuki na roho mbaya
Wenzetu ulaya wanacomment kwa adabu hâta kwa wale wacheza picha za ngono etc.