haufanyi kazi, haujitumi ktk kazi, unachangamoto lukuki za kimaisha hatimaye unakuja na neno "NAMUACHIA MUNGU" huu ni upumbafu na ulofa.
Taifa staz haifany mazoez ya kutosha {Maandalizi ya zimamoto} inataka tuwaombee kwa Mungu ili wakashinde.....huu ni upumbafu na ulofa
uwezo wa kufikiri kipekee unao,uwezo wa kuchukua uamuzi mgumu unao, uwezo wa kutenda unao, uwezo wa kupata unao............ila hatimaye unakuja na habari ya "ANAJUA MUNGU" huu ni upumbafu na ulofa.
Yesu mwenyewe alisema "tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa......."