Kwanini Watanzania wamuachie Mungu?

Kwanini Watanzania wamuachie Mungu?

Kwa sababu moja tu: Ujinga.

Sasa hapa wale 'wajinga' wasiojua maana ya 'ujinga' wanaweza wakakasirika na kudhani labda nimewatukana kwa kuwaita 'wajinga'.

Adui 'ujinga' bado hatujamshinda kabisa.

mkuu bora 'wajinga' ambao hawajui hata mlango wa darasa......

kuna hawa ambao wamepata hiki kinachoitwa 'elimu' ambacho kimewafanya kuwa 'wajinga' zaid ya wale wasiojua milango ya darasa!!

kadri miaka inavoenda ndivo idadi ya ' wajinga' inaongezeka!!


NB/: UJINGA- kuujua ukwel, kuufaham ukwel lakn bado unaamin uongo!!
 
Mimi nilisubiri kwa hamu tuingie barabarani watu kimyaaaa,madai yao wamemuachia Mungu!
Inakera sana.
Kati ya watu natamani kuwaona uso kwa uso nakubadilishana mawili matatu ana kwa ana,mmojawao ni we' Nifah.[I'm sorry nimeshindwa jizuia]
 
Mungu mwenyewe hana time na 'wajinga'.
Kwasababu hamuwezi kujisaidia wenyewe.
 
Tunamuachia Mungu halafu naye anauchuna, hajibu chochote, kwa kuwa anaona kabisa ni mazuzu, kitu cha kukifanya mwenyewe unataka kufanyiwa
 
Halafu watu wanatulazimishia viongozi ila tumemuachia Mungu atatulipia, ni uzuzu.
 
Vp nifah! Pole na maumivu najua tulikuwa ktk boti moja! Lkn kwa upande wangu wilaya yangu ya kino Diwani katoka ukawa cdm, mbunge ndy vile....kuna wakati wananchi mnaweza anzisha figisufigisu na ikazaa matunda,etc biafra, kuhusu kuandamana hilo liko kwa viongozi wakuu walianzishe watu watamalizia

Asante sana mkuu,pole nawe pia.
Hata sisi wana ubungo tulifanya yetu,though sijafurahi kivile.
Furaha yangu ingekamilishwa na mzee wangu kipenzi pekee.
 
Mimi nilisubiri kwa hamu tuingie barabarani watu kimyaaaa,madai yao wamemuachia Mungu!
Inakera sana.
Sasa hapa Dar wamejazana wazaramo wa CCM kila kona hata hizo guts za kuandamana tulizikosa kabisa maana ushirikiano ungekuwa mdogo. Laiti ingekuwa Dar wanaishi watu wa Arusha na Mbeya lazima haki ingeshapatikana.
 
Mungu mwenyewe hana time na 'wajinga'.
Kwasababu hamuwezi kujisaidia wenyewe.
Mungu hasaidii watu na sio kazi yake, mausha yanaenda yenyewe bila msaada wake, mungu hana msaada wowote kwa binadamu.

Watanzania ni wavivu na wajinga, kila kitu wanamuachia mungu, wanaibiwa kura wanamuachia mungu, wanaonewa wanamuachia mungu, hii nchi sijui hata wanachi wake wakoje, najuta kuzaliwa tanzania.
 
Mungu hasaidii watu na sio kazi yake, mausha yanaenda yenyewe bila msaada wake, mungu hana msaada wowote kwa binadamu.

Watanzania ni wavivu na wajinga, kila kitu wanamuachia mungu, wanaibiwa kura wanamuachia mungu, wanaonewa wanamuachia mungu, hii nchi sijui hata wanachi wake wakoje, najuta kuzaliwa tanzania.


Na tuna viongozi mizigo.
 
Mbona na ww mjinga mbona umemuachia muungu... Kama ww unahisi unaweza bira sir God ingia front uonee vitu...
 
Mimi nilisubiri kwa hamu tuingie barabarani watu kimyaaaa,madai yao wamemuachia Mungu!
Inakera sana.
take a breath!! hawa watu walijiandaa kumwaga damu suprisely wamekuta respond zero hawawezi ku react you can cheat all people but not all the time you can cheat people ni muda tu. the problem siasa watu mmeianza hivi karibuni lakini nikikwambia we shall reach a time CCM itapata kura za Hashimu Rungwe hutaamini ila Trend haidanganyi
 
take a breath!! hawa watu walijiandaa kumwaga damu suprisely wamekuta respond zero hawawezi ku react you can cheat all people but not all the time you can cheat people ni muda tu. the problem siasa watu mmeianza hivi karibuni lakini nikikwambia we shall reach a time CCM itapata kura za Hashimu Rungwe hutaamini ila Trend haidanganyi

Kwani unadhani mwaka huu wamepata kura nyingi basi?
Tusipojipanga upya kwa goli la mkono hata 2020 tusahau.
 
thread imenikumbusha Ramadhan singano na ishu yake na simba...namuachia Mungu..duu watanzania kazi bado tunayo
cc:sembo
 
Watanzania ni waoga na ni wajinga. Wanasahau kuwa hata mungu ni mungu /bwana wa vita
 
Naona kila mtu sasa anarusha mpira kwa "wa Tanzania", sijui wanaosonda vidole kwa wa tanzania wao wanatoka msumbiji...i thought wa Kenya, waganda na wengineo ndio wangetoa mada za hivi...!!
 
Back
Top Bottom