Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Kama kawaida yangu na mada za kizalendo, tokea nimezaliwa nimekuwa nikisikia juu neno maendeleo hasa zikizungumziwa Ulaya na Marekani na baadhi ya nchi za mashariki, lakini imekuja kunigusa tena kwenye kampeni za uchaguzi ambapo watu wanabishana kipi kianze sasa nikajiuliza mbona inafahamika wazi kuwa watu waliunda vitu ili viwasaidie hivyo vitu ni msaada mkubwa kwa watu lakini ifahamike Mungu muumba alianza na vitu akaja Akamaliza na watu lakini pia kiutawala wa kidunia mwanadamu hawezi kumuumba mwanadamu ila anaweza kuunda vitu vimsaidie kutatua changamoto.
Hivyo basi mwanadamu ili aone kuwa kiongozi wake anawapenda lazima alete maendeleo ya vitu ambavyo katika utekelezaji wake au baada ya kukamilika unaleta ajira ambazo zinaenda kugusa maendeleo ya watu japo naamini kuna jamii zinaitaji kupewa pesa mkononi moja kwa moja kama wazee, masikini nk, asanteni.
Hivyo basi mwanadamu ili aone kuwa kiongozi wake anawapenda lazima alete maendeleo ya vitu ambavyo katika utekelezaji wake au baada ya kukamilika unaleta ajira ambazo zinaenda kugusa maendeleo ya watu japo naamini kuna jamii zinaitaji kupewa pesa mkononi moja kwa moja kama wazee, masikini nk, asanteni.