Yaani we jamaa zuzu kila idara. Umaana wa chakula unaurank kwa mazoea yako au sababu za mlaji kula anachokula? Hata Tanzania wewe huijui, unashoboka tu, tulia nikujuze:
Nyani - analiwa Ruvuma
Kima - analiwa Uchagani, tena wanaamini ni dawa
Panya - analiwa Umakondeni, huko anaitwa samaki n'changa
Fungo - analiwa Umakondeni
Kwa upande wa mizizi, Umakondeni kuna mizizi inaitwa
Ming'oko
Kama wadudu. Senene ni jamii ya Nzige inaliwa sana na Wahaya na hata mimi binafsi nakula Senene na Kumbikumbi.
Wandengereko kama sikosei na Wazaramo wanakula hawa manure beetle lava. Wanawatoa kwenye miti iliyokauka na kuoza.
We unashinda Lumumba kuhemea buku 7 halafu unakurupuka na utafiti hewa hapa! Ndio hivi hivi unakurupukaga na mambo mengine ya kisiasa unaishia kuonekana punguani. Sasa kwa taarifa yako, wazee wa kichaga ukiondoa kunywa damu ya wanyama,
wanakula pia maini mabichi ya mbuzi.
We tulia Lumumba, mambo ya utafiti tuachie tulioizurura hii dunia. Ukitaka kutoa hoja labda iwe ya kuosha magari parking. Halafu kwa kukusaidia,
PARADISO SUKARI IPO