Kwanini Watanzania tuko tofauti na Waafrika wengine?

Kwanini Watanzania tuko tofauti na Waafrika wengine?

Hili nimeliona kwamba sisi tuko tofauti sana na Waafrika wa nchi nyingine kitabia, sisi tumestaarabika sana ikilinganishwa na Waafrika wa nchi nyingine na hapa naongelea Waafrika weusi tuishio Kusini mwa Sahara!

Na hili utaliona karibia kila mahali kwamba tunawazidi Waafrika wengine sana kuanzia kwenye ustaarabu, vyakula tunavyokula, ni sisi watanzani pekee ndiyo tunaokula vyakula vya maana yaani hatuli vyakula vya ajabu ajabu kama Waafrika wengine kwa mfano Kongo wanakula Nyani na Sokwe kwetu hatuli, ukienda Afrika Magharibi kuanzia Kameruni mpaka Nigeria huko wanakula Kono kono, Mende, miti shamba na mizizi ya ajabu ajabu kwetu hatuli wanyama wa ajabu ajabu Tanzania tunakula nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, Kuku, Kondoo baadhi Nguruwe, samaki lkn pia siyo wa aina zote kuna Samaki wengine Watanzania hatuli na tunachagua!

Ukija kwenye swala tu la maisha ya kila siku, Waafrika wengi hawawezi kusema tafadhali, asante, samahani, nakupenda, uniwie radhi, kwa heri ya kuonana, maneno ya kistaarabu kama haya hawana kwenye Misamiati yao kwa mfano ukienda Kenya ni kawaida mtu hata asiyekujua kukwambia we kuja hapa, sasa Mtanzania hawezi kusema hivi bali tutasema kistaarabu na kiheshima samahani nakuomba uje, sasa ni kwa nini tuko tofauti na Waafrika wengine?

Utaona hata mambo ya uhalifu ingawaje ni kweli kwamba tuna uhalifu Tanzania lkn ukilinganisha na nchi nyingine za Kiafrika Tanzania yetu ni Paradiso, kuna nyumba nyingi sana Tz wala walinzi hazina na watu wanalala usingizi lkn nchi nyingine hili haliwekani, mimi huwa natembea mpaka saa kumi Alfajiri na poa kabisa sijawahi kutishiwa wala kukabwa, huko kwingenie Uhalifu ndiyo nyumbani...

Yaani sisi tumestaarabika zaidi klk Waafrika wengine wote niwajuwao, na hili hata sehemu zilizoendela kama AK nimefika huko Waafrika wa huko hawana ustaarabu kama wetu, Je kuna sababu maalumu kwamba sisi tuko tofauti na wao?
au imeandikwa kwenye vitabu vya Dini labda tumetabiriwa ...
Kwenye vyakula watanzania wanakula Nyani nenda ngoro ngoro pia kuna mnyama jamii ya Nyani anaitwa Kima analiwa na baadhi ya watu mkoa wa Kilimanjaro.

Mbwaa analiwa na baadhi ya watu mkoani Iringa.
Panya nenda Lindi, Mtwara analiwa vizuri tena ni kitoweo pendwa. Kuhusu ustarabu sio kweli watanzania tu matapeli na tunaishi kiujanja ujanja kwani life style yetu sio original ni ya kuiga tu kwa wazungu na mitandao ndio maana siku izi neno nakupenda halitumiki kama neno I love you.
 
Ebu subiria comment za wengine
Panya je? Mikoa ya Rukwa ..Katavi ..Lindi na Mtwara ..panya ni kitoweo hadi funza wa kwenye magome ya miti aina ya miyombo ..Rukwa huwa ni kitoweo pia ..nyani mkoa wa Rukwa analiwa na kabila LA wanyika a.k.a kabila analotokea mbunge mstaafu ndg Mzindakaya ...tembea uone mkuu usifikiri kila unayoyaona mjini na vijijini ni hayo hayo..[/QUOTE]
Ukitaka kuthibitisha upeo wetu finyu wa kufikiri basi moja wapo ni hii mada. Eti ulaji wa vyakula napo ni ustaarabu?
 
Shukrani zote zirudi kwa wazee wa kazi... Waarabu walikuja na mema (Amani na lugha) hiyo pekee tosha...

Barbarosa mwenyewe umenena !!
Hili nimeliona kwamba sisi tuko tofauti sana na Waafrika wa nchi nyingine kitabia, sisi tumestaarabika sana ikilinganishwa na Waafrika wa nchi nyingine na hapa naongelea Waafrika weusi tuishio Kusini mwa Sahara!
 
Kwenye vyakula watanzania wanakula Nyani nenda ngoro ngoro pia kuna mnyama jamii ya Nyani anaitwa Kima analiwa na baadhi ya watu mkoa wa Kilimanjaro.

Mbwaa analiwa na baadhi ya watu mkoani Iringa.
Panya nenda Lindi, Mtwara analiwa vizuri tena ni kitoweo pendwa. Kuhusu ustarabu sio kweli watanzania tu matapeli na tunaishi kiujanja ujanja kwani life style yetu sio original ni ya kuiga tu kwa wazungu na mitandao ndio maana siku izi neno nakupenda halitumiki kama neno I love you.


Yote hayo uliyoyasema siyo ya kweli ni stori tu, Tanzania hii nimeizunguka, swala la Iringa kula Mbwa lilishaisha zamani sana sana kwanza hakuna mwana Iringa mwenye umri wa kustaafu aliyewahi kula mbwa vivyo Panya kwa watu wa Kusini hakuna anayekula panya kwa watu KLM kula Nyani siyo kweli kabisa!
 
Ustaarabu wetu untokana na misingi ya utu na ubinadamu tuliyowekewa na Raisi wetu wa kwanza Nyerere. Nchi nyingine za Afrika kutokana na aina ya viongozi wao walipopata uhuru, iliwafanya watoke kabisa kwenye kuwa wastaarabu.

Angalia Afrika Kusini kwa mfano; athari za mambo waliyopitia zinafanya wawe kama wanyama wakali wa mwituni. Ila kuna exceptions kama Botswana, Namibia. Nao ni wastaarabu sana, na pia unaweza kuihusianisha na viongozi wao kama kina Seletsi Khama na Sam Nujoma.
Oh, unaweza kuwa sahihi kwa kuzingatia historia fupi lakini sie tuna ustaarabu toka kwa babu zetu ndo maana Wareno, Waarabu, Wajerumani na Waingereza wamekanyaga ardhi yetu.
 
Mkuu mada yako yawezekana umeifanyia utafit ukiwa hapa dar kuna umoja Wa kweli.MTU akuulizi kabila lako dini yako.ukifika maeneo mengi kama arusha tegemea hayo maswali tena nakereka unaweza kuta vijana wamekaa hapo kikundi wewe ukijua n ustarabu wetu watz kusalimiana wenzio hawaitiki ...lakini nakuunga mkono tz tupo tofauti kidogo na wenzetu


Arusha ipi hiyo? Siyo Chuga niijuayo na hiyo unayoisema kwangu siijui kabisa, nijuavyo mimi kila Mkoa kuna lafudhi ya huwo Mkoa hivyo ukienda kama hauna hiyo lafudhi watakushtukia kama wewe ni mgeni na watakuuliza ambapo siyo tatizo wanataka tu kujua unatokea wapi lkn haimaanishi kwamba watakubagua, ukienda Kusini hasa Mtwara ukianza tu kuongea na jamaa watakujua moja kwa moja kwamba wewe siyo wa Ntwara lkn haimaanishi kwamba watakubagua ...
 
sisi tumestaarabika sana ikilinganishwa na Waafrika wa nchi nyingine
sio kweli ...sema asilimia kubwa wana IQ 20 ndio maana ...simply mentally retarded...including you

ni sisi watanzani pekee ndiyo tunaokula vyakula vya maana yaani hatuli vyakula vya ajabu ajabu
Kina Lizaboni wanakula Panya....kina Bishanga wanakula Panzi ..a.k.a senene....na wagogo wanakula Viwavi Jeshi....Pia wa singida wanakula Punda......


Waafrika wengi hawawezi kusema tafadhali, asante, samahani,
Hapa umepatia kabisa...hasa yule Mungu wenu ambaye mnamwabudu sasahivi...amewapandishia wananchi bei ya sukari kwa kukurupuka kwake na haombi msamaha.

sasa ni kwa nini tuko tofauti na Waafrika wengine?
Ni kwa sababu ya species za hovyo kama wewe

lkn ukilinganisha na nchi nyingine za Kiafrika Tanzania yetu ni Paradiso

Tanzania yako Inasifika Duniani kwa mauaji ya Albino na imani za kishirrikina..sasa sijui unamaanisha paradiso ya kichawi au?
sijawahi kutishiwa wala kukabwa, huko kwingenie Uhalifu ndiyo nyumbani...
Watanzania zaidi ya 15 wameuawa kwa kuchinjwa ndani ya muda wa mwezi mmoja uliopita..hakuna aliyekamatwa na jeshi la polisi
 
Yote hayo uliyoyasema siyo ya kweli ni stori tu, Tanzania hii nimeizunguka, swala la Iringa kula Mbwa lilishaisha zamani sana sana kwanza hakuna mwana Iringa mwenye umri wa kustaafu aliyewahi kula mbwa vivyo Panya kwa watu wa Kusini hakuna anayekula panya kwa watu KLM kula Nyani siyo kweli kabisa!
Mkuu kuhusu kuliwa kwa kima mkoani Kilimanjaro mpaka sasa watu wanakula, mimi pia nishawah kula nyama yake na wanakijiji waliozunguka Kilimanjaro National park ndio wadau wa hiki kitoweo.Panya nimeshuhudia kwa macho yangu nikiwa lindi mwaka Jana mwez 9 tena mbaya zaidi wauzaji wanawakaanga panya pamoja na kuku katka sufuria moja.
 
sio kweli ...sema asilimia kubwa wana IQ 20 ndio maana ...simply mentally retarded...including you


Sasa kati ya mimi na wewe ni nani asiyekuwa na Akili? Hakuna binadamu mwenye IQ 20, IQ ya mwisho ya binadmu kuweza kureason inaanzia 70 na chini ya 70 ni taahira yaani yule anayehitaji msaada wakati wote hawezi kuongea vizuri amkee udenda unamdondoka n.k hata huyo hawezi kufikia 20, hata mtoto miaka sasa kama unakuja hapa na kusema kuna binadamu ana IQ 20 ina maana hata maana ya IQ hauijui hivyo ningekushauiri kwanza ujielimishe kabla ya kuanza kufikiria mambo mengine kwani utakuja kuabika huko mbele ni muhimu kwa maisha yako, kuweza kuonaisha vitu na kuelewa hasa vina maana gani, ni kama vile mtu akikwambia mita 6 anamaansiha nini na siyo kukariri tu namba kwamba miti 6 lkn ni lazima ujue mita 6 maana yake nini, ni muhimu kwa maisha yako ...
 
Sasa kati ya mimi na wewe ni nani asiyekuwa na Akili? Hakuna binadamu mwenye IQ 20, IQ ya mwisho ya binadmu kuweza kureason inaanzia 70 na chini ya 70 ni taahira yaani yule anayehitaji msaada wakati wote hawezi kuongea vizuri amkee udenda unamdondoka n.k hata huyo hawezi kufikia 20, hata mtoto miaka sasa kama unakuja hapa na kusema kuna binadamu ana IQ 20 ina maana hata maana ya IQ hauijui hivyo ningekushauiri kwanza ujielimishe kabla ya kuanza kufikiria mambo mengine kwani utakuja kuabika huko mbele ni muhimu kwa maisha yako, kuweza kuonaisha vitu na kuelewa hasa vina maana gani, ni kama vile mtu akikwambia mita 6 anamaansiha nini na siyo kukariri tu namba kwamba miti 6 lkn ni lazima ujue mita 6 maana yake nini, ni muhimu kwa maisha yako ...

ndio maana nimekuambia IQ yako ni 20 kwa sababu u na features zote za hao uliowaita wenye IQ 20

Ni hili pekee uliloliona?
 
Na hili utaliona karibia kila mahali kwamba tunawazidi Waafrika wengine sana kuanzia kwenye ustaarabu, vyakula tunavyokula, ni sisi Watanzani pekee ndiyo tunaokula vyakula vya maana yaani hatuli vyakula vya ajabu ajabu kama Waafrika wengine kwa mfano Kongo wanakula Nyani na Sokwe kwetu hatuli, ukienda Afrika Magharibi kuanzia Kameruni mpaka Nigeria huko wanakula Kono kono, Mende, miti shamba na mizizi ya ajabu ajabu kwetu hatuli wanyama wa ajabu ajabu Tanzania tunakula nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, Kuku, Kondoo baadhi Nguruwe, samaki lkn pia siyo wa aina zote kuna Samaki wengine Watanzania hatuli na tunachagua!

Utaona hata mambo ya uhalifu ingawaje ni kweli kwamba tuna uhalifu Tanzania lkn ukilinganisha na nchi nyingine za Kiafrika Tanzania yetu ni Paradiso, kuna nyumba nyingi sana Tz wala walinzi hazina na watu wanalala usingizi lkn nchi nyingine hili haliwekani, mimi huwa natembea mpaka saa kumi Alfajiri na poa kabisa sijawahi kutishiwa wala kukabwa, huko kwingene Uhalifu ndiyo nyumbani...

Yaani we jamaa zuzu kila idara. Umaana wa chakula unaurank kwa mazoea yako au sababu za mlaji kula anachokula? Hata Tanzania wewe huijui, unashoboka tu, tulia nikujuze:

Nyani - analiwa Ruvuma
Kima - analiwa Uchagani, tena wanaamini ni dawa
Panya - analiwa Umakondeni, huko anaitwa samaki n'changa
Fungo - analiwa Umakondeni

Kwa upande wa mizizi, Umakondeni kuna mizizi inaitwa Ming'oko

IMG_4697.jpg


Kama wadudu. Senene ni jamii ya Nzige inaliwa sana na Wahaya na hata mimi binafsi nakula Senene na Kumbikumbi.

scarab-beetle-larvae.jpg


Wandengereko kama sikosei na Wazaramo wanakula hawa manure beetle lava. Wanawatoa kwenye miti iliyokauka na kuoza.

We unashinda Lumumba kuhemea buku 7 halafu unakurupuka na utafiti hewa hapa! Ndio hivi hivi unakurupukaga na mambo mengine ya kisiasa unaishia kuonekana punguani. Sasa kwa taarifa yako, wazee wa kichaga ukiondoa kunywa damu ya wanyama, wanakula pia maini mabichi ya mbuzi.

We tulia Lumumba, mambo ya utafiti tuachie tulioizurura hii dunia. Ukitaka kutoa hoja labda iwe ya kuosha magari parking. Halafu kwa kukusaidia, PARADISO SUKARI IPO
 
Mkuu mada yako yawezekana umeifanyia utafit ukiwa hapa dar kuna umoja Wa kweli.MTU akuulizi kabila lako dini yako.ukifika maeneo mengi kama arusha tegemea hayo maswali tena nakereka unaweza kuta vijana wamekaa hapo kikundi wewe ukijua n ustarabu wetu watz kusalimiana wenzio hawaitiki ...lakini nakuunga mkono tz tupo tofauti kidogo na wenzetu
Arusha Sio tanzania
 
Tuweke mbali vyama kwa ufupi Tanzania yetu ni nzuri watu wake wastaarabu (sio wote) chakula chetu kizuri. Vyakula vya watu wa Congo au West Africa ni balaa au Sudan kusini. Chakula cha mafuta ya mawese mimi binafsi yananitia kinyaaa!
 
Unaizungumzia Tanzania ipi? Ya miaka 40 iliyopita? Hatuli nyani, lakini tunachinja binadamu! Tumekosa ustaarabu kuliko wanyama wa kufungwa na hata wa pori.
 
ndio maana nimekuambia IQ yako ni 20 kwa sababu u na features zote za hao uliowaita wenye IQ 20

Ni hili pekee uliloliona?


Hakuna binadamu mwenye IQ 20, na hapo ndipo tatizo langu na wewe lilipo, hivyo unapaswa ujifunze kwanza maana ya IQ kabla ya kuanza kutumia tu maneno bila hata kufahamu yana maanisha nini kwa kuwa umesikia tu binadamu xyz analitumia!
 
Unaizungumzia Tanzania ipi? Ya miaka 40 iliyopita? Hatuli nyani, lakini tunachinja binadamu! Tumekosa ustaarabu kuliko wanyama wa kufungwa na hata wa pori.


Kila jambo ni relative, hakuna niliposema kwamba WatanZania hakuna upungudfu wa Ustaarabu, bali nimesema ukitulinganisha na Waafrika wengine (Kusini mwa Sahara) basi tuko mbali sana Kiustaarabu!
 
Hakuna binadamu mwenye IQ 20, na hapo ndipo tatizo langu na wewe lilipo, hivyo unapaswa ujifunze kwanza maana ya IQ kabla ya kuanza kutumia tu maneno bila hata kufahamu yana maanisha nini kwa kuwa umesikia tu binadamu xyz analitumia!

Binadamu huyo yupo...na ni wewe hapo
 
Back
Top Bottom