Kwanini Watanzania hamjiungi na ALIBABA small business website

Omba sample ya Laptop.
Wakikuletea bure mimi nafunga kula nyama mwaka mzima.

Wizi wakubwa hao.
Hizo gold members uongo mtupu.
Nimewajaribu Supplier watano NA wote ni Gold members.
Hakuna hata mmoja yuko makini.

We km una kampuni yako bubu humo endelea kuwapambia.
alibaba wenyewe kwenye Disclaimer yao wanakwambia WAZI KUWA HAWAHUSIKI NA MATATIZO YYT YATAKAYO TOKEA BAINA YA MUUZAJI NA MNUNUZI.

Sasa hio kauli ya Uhakiki?

We km una mtaji wa Dola 2000 sidhani km utaogopa kuingia kichwa kichwa.
Mimi hamnipati huko hata siku wahedi.

We unasemea sample ya laptop?!!!!..we jamaa! naona unaongelea biashara ya rejareja, kwa taarifa yako ya bure tu binafsi nilishapokea sample nyingi sana kuanzia clone za honda motorbikes, box za spare za pikipiki, motor, generator za umeme, matairi ya pikipiki, alibaba imenikutanisha na watu wengi sana, wewe unataka kununua laptop mbili unataka utumiwe sample, wewe si mwizi tu!!!! sikatai kuna matapeli, hakuna market place inayokosa matapeli, kuidiscredit alibaba kwa sababu ya experience yako mbovu na watu fulani ni utovu wa nidhamu tu, ni sawa na mimi nisema "wamarekani hawafai kitu wale, nimenunua cover ya kindle tu mwezi mzima sasa sijaipata"!!! alibaba Watanzania wanauza na kununua kule, watu wanauza asali, vitunguu, ufuta, karanga, msiwakatishe tamaa watu wasiojua mnawatia uwoga usio na msingi. Alibaba ipo na inazidi kukua siku hadi siku, ingekuwa imejaa matapeli kwa jinsi unavoiweka ingekuwa inakufa, badala yake inakua!
SCARED MONEY DON'T MAKE MONEY!
 
acha upotoshaji bana wewe, ukiona mmoja haumwelewi unaachana naye unaenda kwa muuzaji mwingine. kwanza siku hizi alibaba wana escrow, tafuta gold supplier nunua kwa escrow, siyo unaponda tu ONE IN A MILLION, unafikiri kampuni ingekuwepo mpaka sasa?!!! watu tunanunua kule kila siku, cha kuhofia sanasana ni ubora tu, na kwa hilo kama ni mteja unataka vingi wanakutumia sample BURE!!
Yaani jamaa kanivunja nguvu kabisa nimekuwa mdogo kama utafikiri mbegu ya haradali!!

Sasa wazee tumwamini yupi? Mbona Alibaba wanasisitiza malipo kwa Escrow ndo kunakuwa na usalama wa fedha yako? CYBERTEQ hebu tufafanulie kama wewe haya makitu unayafanya, tuachane na akina Bill Cosby na porojo zao!!
 
Yaani jamaa kanivunja nguvu kabisa nimekuwa mdogo kama utafikiri mbegu ya haradali!!

Sasa wazee tumwamini yupi? Mbona Alibaba wanasisitiza malipo kwa Escrow ndo kunakuwa na usalama wa fedha yako? CYBERTEQ hebu tufafanulie kama wewe haya makitu unayafanya, tuachane na akina Bill Cosby na porojo zao!!

alibaba ni kampuni kubwa mno huko china, hawawezi kuoffer escrow halafu wakunyime kijisenti chako wajiharibie jina wakati ndiyo biashara yao hiyo! mimi nanunua mara nyingi na sijawahi kupoteza, unachoweza kubambikwa ni quality tu, lakini kama unanunua vingi sisitiza sample, pia angalia wauzaji wazoefu ambao wamekuwapo alibaba kwa muda mrefu,kuibiwa ni popote tu, japan watu waliibiwa sana wakati mtindo wa kuagiza magari umeanza, lakini hilo haliwazuii watu kuagiza!
 
sorry mkuu nielekeze namna ya kujiunga nao hao alibaba
We unasemea sample ya laptop?!!!!..we jamaa! naona unaongelea biashara ya rejareja, kwa taarifa yako ya bure tu binafsi nilishapokea sample nyingi sana kuanzia clone za honda motorbikes, box za spare za pikipiki, motor, generator za umeme, matairi ya pikipiki, alibaba imenikutanisha na watu wengi sana, wewe unataka kununua laptop mbili unataka utumiwe sample, wewe si mwizi tu!!!! sikatai kuna matapeli, hakuna market place inayokosa matapeli, kuidiscredit alibaba kwa sababu ya experience yako mbovu na watu fulani ni utovu wa nidhamu tu, ni sawa na mimi nisema "wamarekani hawafai kitu wale, nimenunua cover ya kindle tu mwezi mzima sasa sijaipata"!!! alibaba Watanzania wanauza na kununua kule, watu wanauza asali, vitunguu, ufuta, karanga, msiwakatishe tamaa watu wasiojua mnawatia uwoga usio na msingi. Alibaba ipo na inazidi kukua siku hadi siku, ingekuwa imejaa matapeli kwa jinsi unavoiweka ingekuwa inakufa, badala yake inakua!
SCARED MONEY DON'T MAKE MONEY!
 
We unasemea sample ya laptop?!!!!..we jamaa! naona unaongelea biashara ya rejareja, kwa taarifa yako ya bure tu binafsi nilishapokea sample nyingi sana kuanzia clone za honda motorbikes, box za spare za pikipiki, motor, generator za umeme, matairi ya pikipiki, alibaba imenikutanisha na watu wengi sana, wewe unataka kununua laptop mbili unataka utumiwe sample, wewe si mwizi tu!!!! sikatai kuna matapeli, hakuna market place inayokosa matapeli, kuidiscredit alibaba kwa sababu ya experience yako mbovu na watu fulani ni utovu wa nidhamu tu, ni sawa na mimi nisema "wamarekani hawafai kitu wale, nimenunua cover ya kindle tu mwezi mzima sasa sijaipata"!!! alibaba Watanzania wanauza na kununua kule, watu wanauza asali, vitunguu, ufuta, karanga, msiwakatishe tamaa watu wasiojua mnawatia uwoga usio na msingi. Alibaba ipo na inazidi kukua siku hadi siku, ingekuwa imejaa matapeli kwa jinsi unavoiweka ingekuwa inakufa, badala yake inakua!
SCARED MONEY DON'T MAKE MONEY!

Mkuu ni kweli mimi nisha wahi kuaguza mzigo na ukafika na niliogopeshwa kuna matapeli wa Ki Negeria, Ila kwa sasa nasikia jamaa wamiliki wa Alibaba wamekuwa wakali sana na hawana mchezo na matapeli, so mtandao uko salama
 
Wizi wakubwa hawa wachina.

Msiwashauri watz wenye mitaji ya kubangaiza.
Mtawaliza watu machozi ya Damu.

  • Ni kweli usipokuwa makini lazima ulizwe, swala la msingi ni kuto kukurupuka katika ufanyaji wa manunuzi.
  • Pia swala la wizi ni kila mahala, kikubwa ni kuchukua tahadhali kwa kila step ufanyayo hasa swala la fedha linapohusika
  • Mzigo wangu wa hivi karibuni toka alibaba ni huu niuliopokea jana - Hivyo ukisema wachina ni wezi hapana - Ni baadhi sio wote.
7ru9l5

  • Ukiangalia vyema hizo tarehe mzigo umechukua siku 4 tu, kunifikia.
 
Kama umeagiza kitu na ukaibiwa alibaba hukuwa mwangalifu. Nimeagiza mengi tu kupitia alibaba na aliexpress. Nilikuwa sijui kama kuna kuuza alibaba. Nitalifanyia hili kazi
 
Nimenunua vitu vingi sana mitandaoni sijawahi kutapeliwa...ni MEMBER wa kudumu EBAY, ALIEXPRESS, GOODLUCKBUY,ALIBABA na kote nimenunua kwa kweli taarifa zinazoenezwa kuwa wale jamaa ni wezi ni upuuzi mtupu usiona na ukweli...

japo nimewahi kuagiza device Ebay ikaibiwa posta dar es salaam...wakati ule wa vuguvugu la madawa ya kulevya la Mwakyembe walikuwa wanakagua kila kitu, waliuona ni kitu kizuri ndani yake na wakaiba....

anaetaka maujuzi na uzoefu...ani PM
 
Kama umeagiza kitu na ukaibiwa alibaba hukuwa mwangalifu. Nimeagiza mengi tu kupitia alibaba na aliexpress. Nilikuwa sijui kama kuna kuuza alibaba. Nitalifanyia hili kazi

unaweza kuuzz hata EBAY sio Alibaba tu
 
Kitu gani Mkuu? Mimi mpaka sasa hivi bado natetemeka na michango ya wadau humu! Hela yangu ya mawazo ije iende na mzigo nisipate si ndo itakuwa mwisho wangu?

kwangu nilichojifunza mkuu ni kudhindwa kuchsnganua michanganuo ya hawa waungwana kiasi kwamba inafikia pahala hawatoi suluhu kuwa tufanye nini . tuanzie wapi nk zaidi ya ubababe wa kudhinda
 
Nimenunua vitu vingi sana mitandaoni sijawahi kutapeliwa...ni MEMBER wa kudumu EBAY, ALIEXPRESS, GOODLUCKBUY,ALIBABA na kote nimenunua kwa kweli taarifa zinazoenezwa kuwa wale jamaa ni wezi ni upuuzi mtupu usiona na ukweli...

japo nimewahi kuagiza device Ebay ikaibiwa posta dar es salaam...wakati ule wa vuguvugu la madawa ya kulevya la Mwakyembe walikuwa wanakagua kila kitu, waliuona ni kitu kizuri ndani yake na wakaiba....

anaetaka maujuzi na uzoefu...ani PM

Mkuu,hiyo device haikua insured?na hv tra/postal calculation zao uwa wanazifanya vipi?na nini hasa tofauti ya Ems na huduma ya posta ya kawaida?
 
Tayari nishaingia mashaka,wapo mnaosema mambo shwari wengine si shwari.
Hapa ngoja nicheki utaratbu mwingine
 
Matapeliiiiiiiiiiiiiiiii haooooo!!!!!


Jichanganyenii mlieeeeeeee...
 
  • Ni kweli usipokuwa makini lazima ulizwe, swala la msingi ni kuto kukurupuka katika ufanyaji wa manunuzi.
  • Pia swala la wizi ni kila mahala, kikubwa ni kuchukua tahadhali kwa kila step ufanyayo hasa swala la fedha linapohusika
  • Mzigo wangu wa hivi karibuni toka alibaba ni huu niuliopokea jana - Hivyo ukisema wachina ni wezi hapana - Ni baadhi sio wote.
7ru9l5

  • Ukiangalia vyema hizo tarehe mzigo umechukua siku 4 tu, kunifikia.

afadhali mkuu umeweka na screenshot, yaani watu walivyo waoga banampaka wanafikia kuropoka tu "alibaba wezi"...alibaba akuibie kwani anakuuzia kitu? alibaba ni platform tu, cha kukusaidia sana tumia escrow yao ukiibiwa watakurudishia pesa zako, sasa mtu anakuja kuponda alibaba nzima wakati aliibiwa kwa uzembe wake unabaki kumshangaa tu! mwisho wa siku unasema basi msiagize jamani, kama kila mtu akiagiza wakinga, wahindi na wasomali wa kkoo mnataka wakose biashara, wacha wenye kutake risk tutachukua risk, mtu anaogopa aendekununua kkoo mbona kuna kila kitu! nakumbuka kuna jamaa alileta malalamiko humu ameibiwa sjui milioni 2, kapewa vitasa feki kkoo, tena dukani kwa muhindi alivorudisha wakamkatalia, kuibiwa popote unaibiwa, lakini siyo kuddiscredit online market place ambayo iko kwenye tano bora za dunia, ni ushamba tu!
 
kwangu nilichojifunza mkuu ni kudhindwa kuchsnganua michanganuo ya hawa waungwana kiasi kwamba inafikia pahala hawatoi suluhu kuwa tufanye nini . tuanzie wapi nk zaidi ya ubababe wa kudhinda

uliza swali ujibiwe mkuu, hapa hakuna mtu anayeuza ujuzi, na hakunamtu mwenye maslahi na alibaba!
 
Back
Top Bottom