USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Kuna maeneo hapa Dar yananuka sana kama ndio siku yako ya kwanza kufika unaweza ukatatizika ila unakuta wana wapo busy na ishu zao.
Wanakula, wanakunywa, story Sana na utani mwingi ila harufu ya hapo ni hatari, eneo kama soko la feri, Tandika sokoni na nk ni mifano
USSR
Wanakula, wanakunywa, story Sana na utani mwingi ila harufu ya hapo ni hatari, eneo kama soko la feri, Tandika sokoni na nk ni mifano
USSR