ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,117
- 1,425
Nipo sehemu nimekaa kuna idadi kubwa kidogo ya watu, nilichokigundua ni kwamba asilimia 98 wanaosoma magazeti wanapitia habari za michezo na burudani.
Hili linanipa maswali kidogo kwa nini ipo hivi?
Je, hii inawezekana watu wamepoteza focus katika mambo mengine, au magazeti hayana tashwishi kwa wasomaji kuhusu habari zingine?
Mwenye mawazo mengine please?
Hili linanipa maswali kidogo kwa nini ipo hivi?
Je, hii inawezekana watu wamepoteza focus katika mambo mengine, au magazeti hayana tashwishi kwa wasomaji kuhusu habari zingine?
Mwenye mawazo mengine please?