Kwanini wapenzi wanaumizwa kila mara?

Kwanini wapenzi wanaumizwa kila mara?

Sasahivi wanaume wamekuwa waongo kuliko kitu chochote hasa kwa sisi wanaume kwanini unamwambia mwanamke kwamba nitakupa kila kitu unachotaka nikubalie tu ili uone yule msichama akishakubali basi ukishavua nguo basi unamwambia kwaheri.

Na nyie wanawake kueni wakweli na yule ulio mkabitdi moyo wako kwanini unamwambia uko mwenyewe wakati yupo Ibrahim, Aman, Iddy, Martin, Juma, N.K ndo maana mpaka saivi sijaona mwanamke wa kuukabitdi moyo wangu sipo tayari kuumizwa na kuumiza mtu.

TAKE CARE IN LOVE
Ugeni kwenda sio kurudi,mapenzi ya kweli ni kwa yule wakwanza tu na akishakutenda hutosamini demu yeyote yule
 
Sasahivi wanaume wamekuwa waongo kuliko kitu chochote hasa kwa sisi wanaume kwanini unamwambia mwanamke kwamba nitakupa kila kitu unachotaka nikubalie tu ili uone yule msichama akishakubali basi ukishavua nguo basi unamwambia kwaheri.

Na nyie wanawake kueni wakweli na yule ulio mkabitdi moyo wako kwanini unamwambia uko mwenyewe wakati yupo Ibrahim, Aman, Iddy, Martin, Juma, N.K ndo maana mpaka saivi sijaona mwanamke wa kuukabitdi moyo wangu sipo tayari kuumizwa na kuumiza mtu.

TAKE CARE IN LOVE



currently am dating with six girls and no one between them i have given them my heart.....natafuna wote tena kwa mda wa kutosha tuu nikitosheka natafuta wengine watano.....bora nile raha nipendavyo nikisema sasa basi iwe kweli
 
Naona umemjaza hofu mzee katoka nduki ha ha ha haya bana ahsante kwa kunipeperushia

Usiwaze mpwa....nimekutafutia mchumba....
7366f2fb0c9bf91e862e56dbe5843961.jpg
 
Back
Top Bottom