Looooh!!! Kumbe siku ile uliyogegedwa safarini ulitaka kukunwa? !!!.... Sasa hivi sitamuonea tena mdada huruma!hadanganywi mtu siku iz,nikikupa jua nami nilitaka kukunwa
Nna maoni kibao....uyapitieNtapenda kuwa mjumbe kwenye huo mchakato
Usijali mpendwaNna maoni kibao....uyapitie
anasemUsijali mpendwa
Kwanza kabisa tunataka polyandry ihalalishwe....Usijali mpendwa
Acha kunionea mpendwa..Hiyo lugha na mm wapi na wapi..FafanuaKwanza kabisa tunataka polyandry ihalalishwe....
Nahitaji kufafanua?
Namaanisha mafiga matatu iwe official hata yakiwa mawili sio mbaya tutapika tu na kitaivaAcha kunionea mpendwa..Hiyo lugha na mm wapi na wapi..Fafanua
...teh teh, utakuwa umeshajitafutia figa la pili wewe...sikusomi sana siku hizi...teh teh.Namaanisha mafiga matatu iwe official hata yakiwa mawili sio mbaya tutapika tu na kitaiva
Ndo natafuta, ngoja nije pm tuongee huu mpango wa mafiga mawili..... Nategemea ushirikiano wako, nami naahidi sitakuangusha teh...teh teh, utakuwa umeshajitafutia figa la pili wewe...sikusomi sana siku hizi...teh teh.
Ahsante, sitaki maradhi ya presha. Huyo mmoja tu nanga zinapaa, teh.Ndo natafuta, ngoja nije pm tuongee huu mpango wa mafiga mawili..... Nategemea ushirikiano wako, nami naahidi sitakuangusha teh
Sitakupa presha nakuahidi raha kila sekunde, ngoja nije pm nikuelewesheAhsante, sitaki maradhi ya presha. Huyo mmoja tu nanga zinapaa, teh.
Sitakupa presha nakuahidi raha kila sekunde, ngoja nije pm nikueleweshe
Ahsante, sitaki maradhi ya presha. Huyo mmoja tu nanga zinapaa, teh.