Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Wanawaza urembo wao 90%





ngoja nimalize siku yangu na kucheka tu, siku nzima nilinuna.hahahhahahahah fight with your weatherMmmmmmh !!!: hakuna hata audio/video tuone hizi pumba, akuelewe nani??
Anyway, fight with your weather.
pole punguza kununa utazeeka my dear, usipende kuruhusu kununa zaidi ya dakika kumingoja nimalize siku yangu na kucheka tu, siku nzima nilinuna.
Toa maoni yako tafadhali.ngoja nimalize siku yangu na kucheka tu, siku nzima nilinuna.
Basi wacha yatumike maana no way out!Wanawake warembo, wazuri wa mwonekano wa nje ni mandezi kweli, yaani majinga mno. Ni ya kutumia tu na kuacha.
yawezekana lakini sio wote, kuna wengine ni warembo na kichwani wako vizuri sana ukikaa naye kuongea vitu vya maana unajilaumu kwa nini hukumjua mapema.
Wengine mawazo ni mabovu kiwango cha PHD, mfano juzi kati nilikuwa na mdada mrembo sana mawazo yake sasa anawaza ujinga mtupu![/Q
UOTE]
Dah.Hongera bro kwa kukutana naye,maana mimi nawatafuta wa design hiyo kama mashine za kuchenjulia madini!! Wengi wabovi kichwani!!
yawezekana lakini sio wote, kuna wengine ni warembo na kichwani wako vizuri sana ukikaa naye kuongea vitu vya maana unajilaumu kwa nini hukumjua mapema.
Wengine mawazo ni mabovu kiwango cha PHD, mfano juzi kati nilikuwa na mdada mrembo sana mawazo yake sasa anawaza ujinga mtupu![/Q
UOTE]
Dah.Hongera bro kwa kukutana naye,maana mimi nawatafuta wa design hiyo kama mashine za kuchenjulia madini!! Wengi wabovi kichwani!!
Lol! Kazi ipo,lakini kupanga ni kuchagua!Sema wao wamejaliwa akili ya kujua mambo ya anasa.Na hili linajidhihirisha hata kielimu, ukikuta mwanamke Dokta au Profesa,muangalie jinsi alivyo muonekano wake!Warembo wengi huishia degree ya kwanza au ya pili!
Ha ha haa haaaa haaaaaaa! Wataandamana brother!!Sio warembo tu na wenye makalio makubwa, ni pumbafu pumba tupu kichwani. Uzuri na kalio kubwa vimekuwa ulemavu kama ulemavu wa viungo kwa walemavu. Hopeles
Ha ha haaaaaa haaaaaa! Nilinuna kwa muda lkn haya maneno yamenifanya nicheke kwa sauti! Akili,Akili_Akili.kabla ya sura akili kwanza/attitude.Balance of nature.
Asilimia kubwa ya wanawake watakao pinga jua hapo kuna mawili, either ana akili ila sura akawa kama le mutuz au mzuri ila akili kama ya le mutuz. Yan hatak kbsa aambiwe kuna alichokosa, vyote asifiwe yeye.
Tayari!?Ngoja niunganishe dots kwanza..
Jamani Kama Kiingereza Mtu Hajui Uzilamishee....weather ina compatibility gani na hii sentensi...HahahaaaMmmmmmh !!!: hakuna hata audio/video tuone hizi pumba, akuelewe nani??
Anyway, fight with your weather.
Haha kwel English ni tatizo .Mmmmmmh !!!: hakuna hata audio/video tuone hizi pumba, akuelewe nani??
Anyway, fight with your weather.
Ha h haaaaaaa haaaaa! Keep fighting with your weather.!Haha kwel English ni tatizo .
.najua ulitaka kusema pambana na hali yako ...
Kazi ipo.Akili wanaziacha kwenye kioo kila wakiamka