ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,379
ha ha ha! upo exeptional eeeh?
ha ha ha ha!!umetumia neno baya sana kutuita mapaka shume wakati wengine tunaupendo wa mshumaa.... Hapana Aisee
ha ha ha! upo exeptional eeeh?
Stimu mzee
ha ha ha ha!!umetumia neno baya sana kutuita mapaka shume wakati wengine tunaupendo wa mshumaa.... Hapana Aisee
Aisee njoo uniangazie na mimi!
Mkuu papuchi zenyewe siku hizi zinawekewa moshi wa jani,ni shida.
Bangi ina hallucination nyingi sana,kama ulishawahi kukamatwa mtu usiemjua akitokea tu presha juuWengi wao wanavuta ili wawe warembo, wanapenda wawe high wachnagamke wawe huru ku act wanacho taka.
Kuna ofisi flani niliwahi fanya kazi, boss wa kike alikuwa akipuliza vizuri tu...
Mfano ili aibu iondoke , uwe mchekeshaji mwenye points na kuuvaa uhalisia na kuwa serious, ili uweze kuwa play role yeyote ile ni lazima idhaniwe kuwa unavuta bangi...
Bangi imekuwa kama kisingizio au msaada wa hawa dada zetu katika swala la kujiamini...
Uzuri ni kwamba ni waoga mno...hata kama ni wavutaji bangi zao hazina tofauti na kilevi cha mrungi "handasi"
Yaani ukishtuliwa kidogo tu ..kwisha you turn in to normal conscious