mwarabuwadubeii
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 661
- 653
Kwa dar kuitaka kushuhudia nenda slip way,Maisha club watoto wazuri wana kula kijiti
nimeshangaa juzi nilikuwa naosha gari mahali, nikaona altereza imepaki mahali kuchungulia nikaona mtoto ameweka mguu juu ya stelingi, nikasogea kidogo loooooh kumbe mtoto alikuwa ananyonya mmmea isee yan huwezi amini ukimtizama looooh,ndio maana siku hizi wanasema wanaume hawawafikishi kileleni maana mtu amekula vitu vyake amekolea akikupa papuchi anaona kama unamkuna tu
Mkuu papuchi zenyewe siku hizi zinawekewa moshi wa jani,ni shida.
Yani madada wavuta bangi hawafikagi kileleni mapema ,,,na siku hizi ni wengi kweli wanaovuta banhi unaweza kukuta hata mke au demu wako anavuta bangi
Mie hata sielewi nimejikuta tu lakini ni starehe kama nyingine, kwani kuna tatizo??
bangi ni starehe nzuri sana kushinda mipombe tena kula kijiti na miwa/juice ni shidaa