Kwanini wanawake wengi wanakumbwa na nguvu za giza?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,883
155,856
Wanawake ndio wanaongoza kwenda kwa waganga.
Wanawake ndio wanaongoza kuwa na mapepo/ majini.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kuanguka kwenye maombezi.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kukimbilia makanisa ya kilokole.
Nini kipo nyuma ya haya yote?
 
mtazamo wangu: wanawake wana roho ya woga sana na wepesi kutafta msaada...pia ni warahisi kuamini jambo! Bujibuji tia vema/nike hapo fasta.
 
Last edited by a moderator:
Ndio mana NYOKA/shetan lilianza kumshawishi /kumwingia kwanza mwanamke na kumdanganya ndipo mwanamke akamdanganya mwanaume.
 
Kila mmoja atasema,
mimi sina hata moja kati ya hivyo ulivyosema mkuu.
 
Kutokujiamini kwao kwenye relation na wanaume zao kunachangia sana kujihusisha na hayo.
Nishaona mdada ametoka asubuhi kwenda job, ameshafika nyumba ya pili toka anapoishi akakumbuka amesahau kujitazama kwenye kioo, akarudi home akajiluku , kisha akatoka tena! Mwanaume anaweza kufanya kioja cha hivi ? Labda lonjo.
 
Wanawake ndio wanaongoza kwenda kwa waganga.
Wanawake ndio wanaongoza kuwa na mapepo/ majini.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kuanguka kwenye maombezi.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kukimbilia makanisa ya kilokole.
Nini kipo nyuma ya haya yote?
mambo bujibuji......napita tu jamani
 
Kutokujiamini kwao kwenye relation na wanaume zao kunachangia sana kujihusisha na hayo.
Nishaona mdada ametoka asubuhi kwenda job, ameshafika nyumba ya pili toka anapoishi akakumbuka amesahau kujitazama kwenye kioo, akarudi home akajiluku , kisha akatoka tena! Mwanaume anaweza kufanya kioja cha hivi ? Labda lonjo.

samahan Judgement, kioo kinahuckaje kwenye mambo ya giza?
 
Last edited by a moderator:
Wanawake ndio wanaongoza kwenda kwa waganga.
Wanawake ndio wanaongoza kuwa na mapepo/ majini.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kuanguka kwenye maombezi.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kukimbilia makanisa ya kilokole.
Nini kipo nyuma ya haya yote?

Fahamu kwamba mwanamke ni kama ndoo ya kuteka maji. Anateka yote kutoka kwenye jamii inayomzunguka.Akianza nyumbani kwake watoto wanambugudhi, mumewe anamdharau na kumwonea (generally) majirani wanamsema, kazini anafuatwafuatwa, nk. Yote haya yanamwondolea kujiamini (self confidence) na yote haya hana habari nayo. Mambo yanapomzidi anaona kama kuna nguvu fulani ipo ndani yake inayotaka kumwangamiza. Bila kujifahamu, anakuwa mwepesi sana kulia na kuamini kama kuna 'kitu'.Katika hali yake, akitokea mtu akajitambulisha kuwa ni mtumishi wa Mungu na ana uwezo wa kutoa mashetani, huyu mwanamke anaamini kwa nguvu zote kwamba ana mashetani (pepo) na imani hii inamfanya aweweseke na kuwa kwenye hali isiyo ya kawaida. Ndo maana katika mikutano ya maombi wanawake na wasichana hupatwa na kiwewe na kuanguka na kudhaniwa wana pepo.

Baadhi ya wanaumei hawakutani na masaibu ya mawasiliano kama niliyotaja hapo juu na ndio maana hawaoneshi taswira ya kimapepo(nguvu za giza) kama wanawake.
 
Wanawake ndio wanaongoza kwenda kwa waganga.
Wanawake ndio wanaongoza kuwa na mapepo/ majini.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kuanguka kwenye maombezi.
Wanawake ndio wanaongoza kwa kukimbilia makanisa ya kilokole.
Nini kipo nyuma ya haya yote?

Kwa sababu ni wauaji.
 
Back
Top Bottom