pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
- Thread starter
- #21
toa sababu kwa nini mnaficha hizo sifa zingine.Umeona wanawake tu!! Mbona hakuna mwanaume anayetaja sifa hizo unazoziita zingine? Mf.mie kibamia,choka mbay,fidodido,mbahiri,mbea,nina gubu,nk nk nk nk??