mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,700
- 9,070
Ahahaha mkuu hamna utani tuMkuu mnatongozana hapa[emoji15]
Ahahaha mkuu hamna utani tuMkuu mnatongozana hapa[emoji15]
Pole sana mkuuMIMI: Ngoja nikanunue condom bby
Girlfriend :sawa my nami naenda bafuni
MIMI. Aise naomba mpira.
MUUZA DUKANI :Mpira upi kakaa
Mimi 😀ume (narudi)
MIMI(Kwa g. Friend) :wee bby chuchu zako zimisimama jmn
Girlfriend :haijawah kushkkwa
Mimi na yeye:romance
Mimi:bby nimezidiwa
Girlfriend 🙁kalegea lege lege)
Mimi :Kinga hii nivalishe
Girlfriend :ungependa tutumie?
Mimi :ndio
Girlfriend :tuache tu ntajua la kufanya
Mimi :daaaah mbona maji mengi sana kuna ko!!!!!
Mimi na yeye 🙁....... Jmn.. uuu%tobaa....)
Baada ya miez 2..
Girlfriend :nina mimba
Mimi :nilikuambiaj?
Sasa mtoto ana miez 6 bado hata sina Furaha coz hatukupanga tuwe na mtoto. Ilibid huyu nimpelek shule kwanza. Juz namkumbhsha chuo ananinunia. Hii inanipa stress. Naumia.
Acha uzushimungu nisamehe...imewahi nitokea ...jamaaa nimekutana nae tukapendan siku akaniita geto kwake nikakipeleka ...we kumbe anataka mechi....toba ...hakuwa na kondomu..nadate nae ila roho inaniuma...nilipotoka hapo nikajikaza ndani ya miez mitatu nikaenda pima...namshukuru mungu...sitorudia kutembea peku tenaaaaaaaaa..nimekoma
uzushi gani wew mchumiAcha uzushi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]uzushi gani wew mchumi
Waungwana wote humu ndani mtakuwa ni mashahidi.
Kwa wale wanaopenda totozi mtaelewa maana ya ninachoongelea hapa na mtaungana na mimi.Kwa wale ambao mbunye kwenu ni kitu adimu basi naamini hatutaelewana.
Jamani tangu nianze kufanya mapenzi hadi leo nimelala na wanawake wengi sana na nina watoto watatu wa mama tofauti,ila sijaoa na sifikirii kuoa katika wanawake hao wengi niliopakuana nao kwa kweli ni watatu tu ndio walioweka mkazo wa kondomu na walikaza haswa.
Wengine wote huwa hata kukumbushia hakuna wala nini.sasa waungwana najiuliza hivi ni kwa nini wanawake wengi hawapendi kuliwa pipi zao na maganda?Yaani unakuta demu unamvua hadi chupi ila hasemi kitu kuhusu kondomu,hadi unampanda ila kimya tu.
Sasa najiuliza sana hii kitu ni kwanini hawa dada zetu hawapendi kondomu? Tena mwingine ukimng'ata na kondomu basi ujue siku nyingine haji tena na wengine ukimwambia tutumie kinga,huwa wanalalamika eti zinawawasha.
Mke wangu ndio anaestahili kavu tu Si vinginevyoDawa ni kupima ngoma tu then baada ya hapo ni nyama kwa nyama. Tena siku hizi kupima ukimwi sio mpka muende hospital, kuna vile vidude vinaitwaje sijui wanavyopimia ukimwi. Unavinunua vya kutosha au kama una rafiki yako daktari unamuomba akupe. Ukipata demu mnapima then mnakula raha. Honestly mimi pia sipendi kondomu ila nikipata demu mpya au one-night-stand tunapima then ni mpwito mpwito wa nyama kwa nyama....kavu ina raha yake acheni masihara nyie ila ni muhimu kuwa makini... pima ngoma kwanza then furahia maisha kwa usalama
Akichepuka huko analiwa kavuMke wangu ndio anaestahili kavu tu Si vinginevyo
Sasa jeKwani ni mwanaume huyo?
Hakika mkuu,kwani mtu utaishi milele kwanzaaa??Zinapunguza sana ladha na jua mwanaume ndo MWAMUZI WA MWISHO WA KUTUMIA AU LA
Huku sisi tunatumia za kupulizia,yaani inakuja kwenye spray can,mashine ikiisha tizama juu kwa formula hii; shaft huwa inaaanza acute halafu right angle halafu obtuce,sasa ikiwa hapo obtuce imekasirika kabisa unaipulizia liquid fulani ambayo inaganda hapo hapo na ku cover shaft yote,basi hapo ni kuchomeka na kupiga kazi,hakuna kuwashwa wala kuzimwa.Zinawasha ee
Tatizo mnawalaumu wanawake tu.mmesahau watu mkisha kuwa faragha mzuka unawapanda yaani akili zinahamia huko chini tu,yaani pauchi na shaft ndio zinatoa uamuzi,nyie kazi yenu ni kuguna nakuguna nauchochea kuni.Hao watakua wanajijua kama maiti watarajiwa,na hata mwanamme mwenye akili zake akimuona mwanamke mwenye style hiyo jiulize kabla yako wewe amesha wavulia wangapi na hao kwenye wangapi wazima wangapi?
Hahahahaa hyo angle yako ni soo bro....stay away from me!!!Nyie rukeni rukeni tu , acheni kuvaa tukutane kwenye angle yangu