Labda hisia zao zipo karibu
hakuna wanawake wanamvuto na soko kubwa km wanawake wanene haa haa haa mwanamke ushepu babu sio kitu kimekauka kila ukishika unashika mifupa mwanamke tako & steki
Umepata mkate? Au umenunua vitumbua?
We call them '"futufutu""
Mkuu una nafas kubwa ya kupata findings,wakat unawakaza jaribu kuuliza watakwambia
vimbaumbau havina fangasi? unazijua sababu za mtu kupata fangasi.? mbona hamna shukrani wanaume.? akiwa mnene mnasema akiw mwembamba
Yawezekana kweli mkuu hata mimi nina bahati sana ya kukubaliwa na mabonge pamojam na wanawake wa kichaga na kaskazini kwa ujumlaNyota yako imekaa kupendwa na wanene, lakini siyo warahisi hivyo, ufikiriavyo wewe.
na wewe ni mnene? sijawahi kuona mmasai mnene.
af vibonge watam kweli...
Wanawake wote ni rahisi kutongozeka bila kujali umbo
Hiyo reseaech umefanyia mikoa gani na kwa wanawake wangapi?
Wanawake wengi wasomi sana,wenye hela na wazuri/warembo ni wagumu siku zote haijalishi ni mnene au mwembamba.