Kwanini wanawake wanene wanakua rahisi kutongozeka?

Kwanini wanawake wanene wanakua rahisi kutongozeka?

Mie ni mwanamke mnene, nimeolewa, na si mrahisi kama unavyo sema, niko mwaka wa tano kwenye ndoa na nina miaka thelathini tuu(usije dhani kuwa mi ni kizee). Na sijawahi kuwa na mchepuko japo wapo wanifuatao

Kweli huwa wanajitangaza?
 
Dunia haiishi vituko....labda wahathirika hao
Vidonge vime wakubali
 
Ndugu yangu, unene au wembamba ni maamuzi ya mtu binafsi huwezi kuhusisha na tabia. Ningekuelewa kama ungesema mrefu au mfupi ambayo ni maumbile ya kudumu.

Wana jamvi, tabia ya mtu hubadilika kutokana na sehemu au hali fulani. Hivyo basi, unene au wembamba siyo kigezo cha urahisi wa mwanamke. Salamu dada Wema
 
Mie ni mwanamke mnene, nimeolewa, na si mrahisi kama unavyo sema, niko mwaka wa tano kwenye ndoa na nina miaka thelathini tuu(usije dhani kuwa mi ni kizee). Na sijawahi kuwa na mchepuko japo wapo wanifuatao
wanakufata wanaume wenye mbavu nyembamba ndio mana!ngoja wakufate wenye mbavu nene kama hujavua kyupi chako tena kwa haraka.
 
Mie ni mwanamke mnene, nimeolewa, na si mrahisi kama unavyo sema, niko mwaka wa tano kwenye ndoa na nina miaka thelathini tuu(usije dhani kuwa mi ni kizee). Na sijawahi kuwa na mchepuko japo wapo wanifuatao


Uliolewa ukiwa bado mdogo..hujafaidi ujana ujue!!
 
we mleta mada lazima utakuwa ------ tu km ungekuwa lijari usinge post uongo km huu mbona mama ako ni mnene naye ni mrahisi..? acha kuongea pumba km vp rudi facebook pimbi we acha kukurupuka siku nyingine au umeamua kupost baada ya kuona mama ako
 
we mleta mada lazima utakuwa ------ tu km ungekuwa lijari usinge post uongo km huu mbona mama ako ni mnene naye ni mrahisi..? acha kuongea pumba km vp rudi facebook pimbi we acha kukurupuka siku nyingine au umeamua kupost baada ya kuona mama ako

Aisee pole, ila umechangia kwa hisia sana.
Grace
 
Last edited by a moderator:
Aisee pole, ila umechangia kwa hisia sana.
Grace

anaonekana mshamba sn huyu jamaa urahisi wa mtu si nitabia ya mtu au hisia ya mtu tu sasa ye vipi aseme wanaweke wa aina flani warahisi?
 
Last edited by a moderator:
Kukiwa na wanawake wawili kati ya bonge na kimbaombao mimi natongoza bonge kwa kuwa
kwanza,masela wengi hawawazimii kwa sana.
Pili,utakua unakula peke yako.
Tatu,hua wanaonyesha mapenzi ya dhati,ila wana hasira sana.
Kwa hiyo mabonge poa sana kwa kuwa ma men wengi hawawafagilii sana.wapi yupo bonge nimfuate?
 
Back
Top Bottom