Kwanini wanawake wanene wanakua rahisi kutongozeka?

Kwanini wanawake wanene wanakua rahisi kutongozeka?

hakuna wanawake wanamvuto na soko kubwa km wanawake wanene haa haa haa mwanamke ushepu babu sio kitu kimekauka kila ukishika unashika mifupa mwanamke tako & steki
Mkuu Grace Komba samahani mkuu,wewe una kilo ngapi!?
 
Last edited by a moderator:
we kama demu wako alikuwa mnene na amekupiga chini basi poyeeeee!!
 
Kukiwa na wanawake wawili kati ya bonge na kimbaombao mimi natongoza bonge kwa kuwa
kwanza,masela wengi hawawazimii kwa sana.
Pili,utakua unakula peke yako.
Tatu,hua wanaonyesha mapenzi ya dhati,ila wana hasira sana.
Kwa hiyo mabonge poa sana kwa kuwa ma men wengi hawawafagilii sana.wapi yupo bonge nimfuate?

Huyu amepigwa chini na bonge ndio maana amekuja kuharisha hapa!chezea kuachwa wewe
 
we mleta mada lazima utakuwa ------ tu km ungekuwa lijari usinge post uongo km huu mbona mama ako ni mnene naye ni mrahisi..? acha kuongea pumba km vp rudi facebook pimbi we acha kukurupuka siku nyingine au umeamua kupost baada ya kuona mama ako

asante grace mi nilikuwa naogopa et.
 
Sijazungumzia maswala ya mke wangu!? Nimezungumzia wanawake wa nene. Kama ww ni mwanamke mnene funguka kwanini munajirahisisha?

kama umezungumza maswala ya wanawake na mkeo ni mwanamke basi umemzungumzia tayari..we sema kama mkeo ni bonge tukutembelee siku moja moja
 
kumbe ndivyo ilivyo kuna bonge huwa nalimezea hapa ngoja nifanye mpango wa kulitoboa
 
Utamu wa kitu mate yako! ndo maana kuna wanene na wembamba na wote wanawenziwao! ila kuna unene wa maradhi huo ni tofauti.
 
vibonge hawana soko wakubali wakatae ndo hivyoo...... mwanamke unafanana shape na friji inahusuuu!!!!

dalili zote zinaonyesha wewe ni ki-model aka portable!!!
 
Ni wewe tu, ila wanawake woote ni warahisi. Research ndogo tu kukupinga, nenda kwa sex workers harafu angalia wanene wapo wangapi na wembamba wapo wangapi. Wengi wanaojiuza ni wembamba. Chezesha akili kidogo kabla ya kusema.

kwasababu ndio wenye soko.
 
Back
Top Bottom