Kwanini wanawake wanene wanakua rahisi kutongozeka?

Kwanini wanawake wanene wanakua rahisi kutongozeka?

Wanawake wanene ni waelewa sana tofaut na wembamba,hata kama hatokukubalia ombi lako basi atakujib kistaarab sana tofaut na wembamba! Lakn kwa uzoefu wangu,vijana wengi wanakosa ujasir wa kuwatongoza wanawake wanene hata kama wanavutiwa nao!
 
second wanawake wanene huwa wanamuonekano wa heshima sn wastaarab tofati na vimbau vimbau asilimia kubwa huwa nimicharuko sn pia wanamanone mengi kifupi wanakuaga hawajatulia
 
second wanawake wanene huwa wanamuonekano wa heshima sn wastaarab tofati na vimbau vimbau asilimia kubwa huwa nimicharuko sn pia wanamanone mengi kifupi wanakuaga hawajatulia

mmmmh!
 
Hii Cyo Kweli Bhanaa,uzalilishaji Huo,mwanamke Ni Mwanamke Tu...Mabonge Ni Watamu Xana Kama Unajua Kwenda Nao Xawa,na Pia Cyo Wepec Kutongozeka,ukiona Bonge Ni Mwepesi Kutongozeka Ujue Ndo Tabia Yake,mbona Vimbaumbau Vingi Ni Malaya Na Vinaongoza Kugonganisha Wanaume!,me Nilikuanalo Bonge Moja Dah!,hadi Laa Ukiwa Na Hawa Watu...Rudi Field Kafanye Tena Research Mkuu,hii Umefeli...
 
Hiyo reseaech umefanyia mikoa gani na kwa wanawake wangapi?

Wanawake wengi wasomi sana,wenye hela na wazuri/warembo ni wagumu siku zote haijalishi ni mnene au mwembamba.

Ugumu wa kitu unategemea "solvent" inyotumika. . . . . . .
 
we una mvuto kwa mabonge,so do not generalize and conclude mambo
 
Sijui ni kwaupande wangu tu, au ni kawaida. Ktk uzoefu wangu wa kutongoza, nimegundua kua wanawake wanene nikama wanangoja tu waambiwe nawao wakubali. Hiikitu ni tofauti kabisa kwa wanawake we mbamba (model) . Sasa tatizo ni nini? Kutojiamini au wamekua hawatongozwi mara kwa mara. Wenda ni malaya kiasili au wanajiona hawavutii machoni pa wengine, hivyo kuana nibora wakubali mapema ili jamaa asije akaghairi? Nimekua nikijiuliza bila kupata jibu sahihi. Nimeamua kulileta hapa mezani wenda wenyewe wakapita hapa na kulitolea ufafanuzi. Natanguliza shukrani.

wenzako ni wazoef kuleta watu kwenye ufalme wa Mungu we unakuwa hodari au mzoef kuifanya kazi ya shetani, unajua mwisho wake? Badilika mwamini Yesu akusaidie
 
Wanene wepes kukubal lakin wanamsimamo sana wakigundua unachepuka pia ni rahs kukuacha kam alivyo kukubalia kirahc we mbamba wagumu na hawawez kuvumilia yaan kisas kwa kisas maisha yanaenda na haondok hata kwa kipigo gan.
 
Back
Top Bottom