BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Nadhani pia hili ni swali la kujiuliza nyie wanaume maana kwa namna moja au nyingine mmeshakuwa na wapenzi maishani mwenu hadi sasahivi. Je wanawake wote ulitoka nao walipenda kupewa pesa? Kumbuka kuna wengine wanaomba kabisa,utasikia honey nina deni au nataka kununua simu na vitu kama hivyo.
Wewe mwanaume kama hupendi kuombwa pesa na mwanamke si unaweza kumwambia kuwa huna hiyo tabia halafu uone itakuwaje kama atakuacha humpi pesa au laa!
Kwenye ndoa ni zaidi ya kpenda kupewa pesa,mwanaume ni kichwa cha familia tena wengine hata kama wake zao wanawazidi kipato wanapenda kuonekana wapo fiti financial ili hata watoto na ndugu wengine wajue na kumheshimu baba kuwa ndo anagharamikia familia.
Wewe mwanaume kama hupendi kuombwa pesa na mwanamke si unaweza kumwambia kuwa huna hiyo tabia halafu uone itakuwaje kama atakuacha humpi pesa au laa!
Kwenye ndoa ni zaidi ya kpenda kupewa pesa,mwanaume ni kichwa cha familia tena wengine hata kama wake zao wanawazidi kipato wanapenda kuonekana wapo fiti financial ili hata watoto na ndugu wengine wajue na kumheshimu baba kuwa ndo anagharamikia familia.