miss wa kinyaru
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 542
- 356
umenena my dear, mwanamme kumpa pesa mwanamke ni wajibu ila kwa sababu ya umasikini wao ndo maana kila siku wanalalamika, mbona wanawake hawalalamiki kwani ni vingapi wanawapa lakini hatulalamiki,. kutwa kucha ni nyie tu, kila siku unachimba Dhahabu kwenye mgodi wa mwenzio halafu ukiombwa pesa unaanza kulalamika! siku unamtaka unamwambia ninakupenda nitakutunza kwa lipi? unaona mwanamke kapendeza eti unatamani ummiliki unafikiri kumiliki mwanamke mrembo ni kazi ndogo? wapo ambao ili mradi kumekucha sh. 500 kwa siku inamtosha maana hajui hata kupaka lotion kutwa nzima ananuka kikwapa, watafuteni hao wanawafaa wanaume wote msiopenda kuwapa pesa wanawake, wanawake wazuri na warembo waachieni wakubwa wafaidi, nyie sio size yenu. na kama mnaona wanawake wanapenda hela basi tongoza wanaume wao hawapendi hela achana na wanawakemie naona hili swala la mwanaume kutoa pesa kwa mwanamke ni wajibu wa mwanaume. Hata kama mkeo au gf ana kipato chake lkn ww mwanaume lazima utoe pesa kwa mkeo. Kumbuka pesa ya mwanaume ni kwa familia yote na pesa ya mwanamke ni ya kwake mwenyewe. Hivyo kama mwanamke akiwa na utu tu ule wa kumpenda mwenzio ndio anaweza kumpa pesa mwanaume wake, au kama mume hana kazi au mgonjwa hapo mwanamke pia anweza kumsaidia mwanaume hivyo ni hiyari ya huyo mwanamke. Lkn mwanaume lazima atoe pesa kwa mwanamke iwapo anazo, haijarishi kama mke ana kazi au lah!