umenena my dear, mwanamme kumpa pesa mwanamke ni wajibu ila kwa sababu ya umasikini wao ndo maana kila siku wanalalamika, mbona wanawake hawalalamiki kwani ni vingapi wanawapa lakini hatulalamiki,. kutwa kucha ni nyie tu, kila siku unachimba Dhahabu kwenye mgodi wa mwenzio halafu ukiombwa pesa unaanza kulalamika! siku unamtaka unamwambia ninakupenda nitakutunza kwa lipi? unaona mwanamke kapendeza eti unatamani ummiliki unafikiri kumiliki mwanamke mrembo ni kazi ndogo? wapo ambao ili mradi kumekucha sh. 500 kwa siku inamtosha maana hajui hata kupaka lotion kutwa nzima ananuka kikwapa, watafuteni hao wanawafaa wanaume wote msiopenda kuwapa pesa wanawake, wanawake wazuri na warembo waachieni wakubwa wafaidi, nyie sio size yenu. na kama mnaona wanawake wanapenda hela basi tongoza wanaume wao hawapendi hela achana na wanawake[/QUOTE Mwanamke mwenye mawazo kama ya kwako haya, kuendelea ni vigumu sana, kumueka mwanaume kama chanzo cha kipato hakika mfumo dume hautaisha. Mwanamke mwenye akiri hushilikiana na mume wake na kujenga maisha. Sio kuficha kuficha pesa zake nakutegemea kupewa kila kitu na mwanaume, kwanza huko nisawa na kujiuza.