Kwanini wanawake wanapenda kupewa fedha na wanaume?

ni hivi inategemea mwanaume mwingine tangia siku ya kwanza alishazoea kukupa hela kwa hiyo anakuzoesha.
Halafu kuna wanawake wengine unakuta unajiweza kujihudumua mahitaji yako lakini mpenzi, mchumba yeyote atakayekuwa anakwambia huduma zote ni juu yangu sitaki ujinunulie kitu chochote ukiwa na shida yoyote niambie, unafanya kazi lakini ukijinunulia kitu anakuuliza umepata wapi hela, si nilikwambia ukitaka kitu uniambie anakasirika sasa kwa nini nisile hela zake jamani?
 
Hii mada ni nzuri ila kwa walioolewa au kuoa ndo wanajua vizuri hili suala,kwa upande wangu c oni sababu ya mtu kukataa hela yake isitumike kama mnafanya kazi wote na ni wana ndoa. Na ktk mapenzi, suala la mwanaume kutake care girlfriend wake ni la muhimu saana ktk mahusiano,tatizo linakuja kwa wale wanaolazimisha.Kwa hilo c waungi mkono kama wapo!! Unamuacha yeye akupatie kulingana na alichonacho.

Mkuu,
Hii point yako ni murua kabisa...
kwenye mapenzi kuna nipe nikupe... mwanaume akitoa pesa kumfurahisha bibie, bibie naye akimfanyia mambo mbalimbali bwanake kama ishara ya upendo inapendeza eti.Kuna wanaosahau kuwa wanawake wana mengi wanawafanyia wapenzi/waume zao hata kama si pesa taslim.Kuna wanawake wameweza kuwabadilisha wanaume zao hata kwa kuwashauri tu namna ya kujiangalia - mavazi gani wavae, wajinadhifu vipi ( grooming), wapangilie vipi nyumba zao,wajichukue vipi in public n.k. na hii imewapandisha sana chati wanaume husika na kuwafanya waheshimiwe zaidi.Kuna wanaowashauri hadi mambo ya biashara ua hata kazi zao .Je wanawake hao wangeamua kutoza ada ya ushauri ( consultancy fee) unadhani ingekuwa vipi? Tusilianglie hili suala kijuujuu tu tulitizame kwa mapana yake.
 
Mkuu,
Hii point yako ni murua kabisa...
kwenye mapenzi kuna nipe nikupe... mwanaume akitoa pesa kumfurahisha bibie, bibie naye akimfanyia mambo mbalimbali bwanake kama ishara ya upendo inapendeza eti.Kuna wanaosahau kuwa wanawake wana mengi wanawafanyia wapenzi/waume zao hata kama si pesa taslim.Kuna wanawake wameweza kuwabadilisha wanaume zao hata kwa kuwashauri tu namna ya kujiangalia - mavazi gani wavae, wajinadhifu vipi ( grooming), wapangilie vipi nyumba zao,wajichukue vipi in public n.k. na hii imewapandisha sana chati wanaume husika na kuwafanya waheshimiwe zaidi.Kuna wanaowashauri hadi mambo ya biashara ua hata kazi zao .Je wanawake hao wangeamua kutoza ada ya ushauri ( consultancy fee) unadhani ingekuwa vipi? Tusilianglie hili suala kijuujuu tu tulitizame kwa mapana yake.


hapo kwenye mavazi unakuta mara nyingi cc wamama ndio tunaowavesha hao wazee wetu, ukipita mahali shati zuri, cjui sox, tie! haaa na ni kwa pesa zetu.
 
hapo kwenye mavazi unakuta mara nyingi cc wamama ndio tunaowavesha hao wazee wetu, ukipita mahali shati zuri, cjui sox, tie! haaa na ni kwa pesa zetu.

Thank you sista!
Kweli umegusia kitu cha maana....wanaume nyie toeni tu pesa wala msilalamike maana hizo pesa zinawarudia wenyewe kwa namna nyingine.
 
Pretty,
Kumbuka kuwa wanawake si watu!!!!, Ila ni wasaidizi. Huu msemo unawafanya walio wengi kutotambua majukumu yao kwa nyumba endapo mwanaume yupo. Umefika muda kwa wanawake kubeba baadhi ya majukumu ndani ya nyumba ili kuleta uwiano sawa kama gender inavyozungumziwa.
 
Nadhani utofauti wetu kati ya wanawake na wanume ni functional in order to maintain species sema watu wa gender saa ingine wanaharibu na kuyakuza mno!

Angalia madem walivyo warembo na wanavyopendeza ili madume wawatamani! Angalia madume walivyo na misuli na nguvu ili wanawake wawazimikie!

Yaani haya mambo ya kinadharia siku hizi na gender kama Scandnavia countries maskini wanaume wamenywea na wamekaliwa hata utawaonea huruma!

Hakuna raha bwana mwanamme ukoao mke wako ..ukamtunza pia ukatoa na pesa kwa familia yako! nakuambia basi hii ni heshima kubwa sana kwa akina baba hata kama mama ana pesa kiasi gani! Mama anaweza kukujibu kwa kujisikia kuwa nae ameolewa na yeye kama mwanamke anapendwa!
 
Pretty,
Kumbuka kuwa wanawake si watu!!!!, Ila ni wasaidizi. Huu msemo unawafanya walio wengi kutotambua majukumu yao kwa nyumba endapo mwanaume yupo. Umefika muda kwa wanawake kubeba baadhi ya majukumu ndani ya nyumba ili kuleta uwiano sawa kama gender inavyozungumziwa.


misemo mingine ni tata mno, loooo! ni wanyama?
 
Nadhani utofauti wetu kati ya wanawake na wanume ni functional in order to maintain species sema watu wa gender saa ingine wanaharibu na kuyakuza mno!

Angalia madem walivyo warembo na wanavyopendeza ili madume wawatamani! Angalia madume walivyo na misuli na nguvu ili wanawake wawazimikie!

Yaani haya mambo ya kinadharia siku hizi na gender kama Scandnavia countries maskini wanaume wamenywea na wamekaliwa hata utawaonea huruma!

Hakuna raha bwana mwanamme ukoao mke wako ..ukamtunza pia ukatoa na pesa kwa familia yako! nakuambia basi hii ni heshima kubwa sana kwa akina baba
hata kama mama ana pesa kiasi gani! Mama anaweza kukujibu kwa kujisikia kuwa nae ameolewa na yeye kama mwanamke anapendwa!



haaa uanaume ndio huo hapo! bravo ma bro......
 
Mapenzi haswa Bongo kwa dem = Pesa!

.........ha ha ha your right. Ninajamangu tasha katengana na dem wake wakibongo japo wamezaa watoto wawili. Nkamuuliza what happened ''I fucked her away!....is so expensive to maintain an African woman'' basi nkanjoke ...ofcourse they are expensive especially when they meet white men for they know for sure you guys have money.
 
mie naona hili swala la mwanaume kutoa pesa kwa mwanamke ni wajibu wa mwanaume. Hata kama mkeo au gf ana kipato chake lkn ww mwanaume lazima utoe pesa kwa mkeo. Kumbuka pesa ya mwanaume ni kwa familia yote na pesa ya mwanamke ni ya kwake mwenyewe. Hivyo kama mwanamke akiwa na utu tu ule wa kumpenda mwenzio ndio anaweza kumpa pesa mwanaume wake, au kama mume hana kazi au mgonjwa hapo mwanamke pia anweza kumsaidia mwanaume hivyo ni hiyari ya huyo mwanamke. Lkn mwanaume lazima atoe pesa kwa mwanamke iwapo anazo, haijarishi kama mke ana kazi au lah!

Du,kaazi kweli kweli...
Kwani Pretty,tukitoa pesa kwaajili ya familia(kwa ratios,mimi na yeye,say 3:2 au hata 1:1)kuna ubaya gani?Huo ulazima wa mwanamume kutoa pesa yeye tuuu hata kama patner naye anakipato unatoka wapi?

Nilidhani usawa wa kijinsia ni pamoja na kushare majumkumu ikiwemo hili la pesa.

Hapo nilipopigia mstari umeniacha hooooi kabisa.I will highly appreciate clarification and justification.

Nakushukuru kwa kunionesha upande mwingine wa shilingi,any way.
 
mie naona hili swala la mwanaume kutoa pesa kwa mwanamke ni wajibu wa mwanaume. Hata kama mkeo au gf ana kipato chake lkn ww mwanaume lazima utoe pesa kwa mkeo. Kumbuka pesa ya mwanaume ni kwa familia yote na pesa ya mwanamke ni ya kwake mwenyewe. Hivyo kama mwanamke akiwa na utu tu ule wa kumpenda mwenzio ndio anaweza kumpa pesa mwanaume wake, au kama mume hana kazi au mgonjwa hapo mwanamke pia anweza kumsaidia mwanaume hivyo ni hiyari ya huyo mwanamke. Lkn mwanaume lazima atoe pesa kwa mwanamke iwapo anazo, haijarishi kama mke ana kazi au lah!


wanaopenda vya mteremko na kuchuna utawajua tu hata kwa argument zao.
 
mie naona hili swala la mwanaume kutoa pesa kwa mwanamke ni wajibu wa mwanaume. Hata kama mkeo au gf ana kipato chake lkn ww mwanaume lazima utoe pesa kwa mkeo. Kumbuka pesa ya mwanaume ni kwa familia yote na pesa ya mwanamke ni ya kwake mwenyewe. Hivyo kama mwanamke akiwa na utu tu ule wa kumpenda mwenzio ndio anaweza kumpa pesa mwanaume wake, au kama mume hana kazi au mgonjwa hapo mwanamke pia anweza kumsaidia mwanaume hivyo ni hiyari ya huyo mwanamke. Lkn mwanaume lazima atoe pesa kwa mwanamke iwapo anazo, haijarishi kama mke ana kazi au lah!


wanaopenda vya mteremko na kuchuna utawajua tu hata kwa argument zao.
 
My dear pretty God never said man should do everything, alisema Adam for this sin "the ground will be under your curse. You will have to work hard all your life to produce enough food for you.Na mungu alipoomuumba Eve aliosema nitampa msaidizi (si tegemezi wa kila kitu)
Na tunaona ktk maandiko hayo hayo kwenye proverbs kuna chapter nzima ya capable wife Prov 31:10-31 ntakunukulia few lines
How hard is it to find A capable wife, she is far worth than money.....she keeps herself busy making wool and linen cloth......she is a hardworker,strong and industrous....she is always busy and looks at her family's needs.

Tukirudi kwenye mada nakataa kabisa kuwa Mungu alimuumba mwanamke awe tegemezi, apewe kila kitu bila yeye kuchangia.
Ni jamii zetu na makuzi ndio yametulea kutazama kuwa mwanaume ataprovide kila kitu. Tumekuzwa kuona baba ananunua kila kitu.. kwa kuwa mama alikuwa housewife. Binti aliyeondoka nyumbani na mtazamo huu hata afanikiwe na maisha apate kipato kizuri na mpenzi/mume bado atakuwa na fikra " jamaa atanipa pesa kudhihirisha ananipenda" na hata wakioana ataendeleza fikra hizo, yeye chake ataficha cha mumewe cha wote.

Lakini tungejiuliza, mapenzi ni nini haswa? nafikiri ni kurudhiana kuwa pamoja, kusaidiana, kushirikiana na kutulizana. Sio one way trafik- bali wote msichana na mvulana kila mmoja aonyeshe mapenzi kama kusaidiana wewe ukipew zawadi na wewe toa. Kama unatolewa out na wewe at times umtoe mwenzio out. Nafikiri kwa mwanaume timamu akiona binti yuko responsible na independent atampenda zaidi na kumheshimu.
Kuna mazingira ndio tunakubali kuwa msichana hana labda jamaa anafanya kazi na binti ni mwanafunzi basi kwa kile kidogo cha jamaa anaweza kusaidia mpenzi wake, na binti hapa asiwe ng'ang'anizi ati kila wakati apewe tuuu pesa kisa shoga yake ana kibuzi kinampa laki kila wiki!!!!

Kina dada wana tabia ya kujicompare na wenzao sana , kama ni vyuoni basi watashindana boyfriend wa nani ni bingwa wa kutoa pesa, wakiwa vyumbani husimuliana ohh jana nimepewa Simu kali na pesa, basi wenzie watamwambia eeh anaonyesha anakupendaa ehhh, sasa wale wengine (bila kufikiria other factors za wapenzi wao) huanza kujenga hisia kuwa ahaaa kumbeee kupendwa ndio huku... ni kupewa pesa, zawadi n.k na yeye akikutana na BF wake ataanza kudadisi eti unanipenda, mbona hunipi pesa; Namwambia hisia na fikra hizi zikisha jengeka kwenye akili ya binti basi ndio mwanzo wa balaa. Hata akipata kazi bado atataka apewe kila kitu na hatachangia hata chembe kwenye familia.

Ni wakati muafaka kina dada wakatambua kuwa mapinduzi ya kweli wanayoyahitaji ni pamoja na kujiamini kuwa wanaweza na kwenye mahusiano pia wanachangia na kwenye familia vile vile wanachangia. Ila kutegema kupewa tuuuu mwishowe ni kunyanyaswa na kudhalilishwa.
kama mwanamke msaidizi wa mwanaume, hivyo pesa yake itatoka pale ambapo mwanaume hana pesa au kazidiwa majukumu na uwezo hana.Ni kweli mwanamke anatakiwa ajishughulishe na biashara au kazi, lakini ukweli unabaki kwamba pesa yake siyo lazima kwa familia kama ana mume. Hivyo kutoa pesa kwake ni hiyari sio lazima.
 
Pretty,
Kumbuka kuwa wanawake si watu!!!!, Ila ni wasaidizi. Huu msemo unawafanya walio wengi kutotambua majukumu yao kwa nyumba endapo mwanaume yupo. Umefika muda kwa wanawake kubeba baadhi ya majukumu ndani ya nyumba ili kuleta uwiano sawa kama gender inavyozungumziwa.
wewe acha kabisa mambo ya uwiano wa gender. Huu uwiano wa gender ndio unaoleta matatizo ktka ndoa.
 
Du,kaazi kweli kweli...
Kwani Pretty,tukitoa pesa kwaajili ya familia(kwa ratios,mimi na yeye,say 3:2 au hata 1:1)kuna ubaya gani?Huo ulazima wa mwanamume kutoa pesa yeye tuuu hata kama patner naye anakipato unatoka wapi?

Nilidhani usawa wa kijinsia ni pamoja na kushare majumkumu ikiwemo hili la pesa.

Hapo nilipopigia mstari umeniacha hooooi kabisa.I will highly appreciate clarification and justification.

Nakushukuru kwa kunionesha upande mwingine wa shilingi,any way.
Ndio atakuwa na kipato lakini usimlazimishe kumpa majukumu. Kama mwanamke yeye mwenyewe akiona inafaa kutoa pesa kwa familia basi ni uamuzi wake tena mzuri. Kwa hiyo ni hiyari yake sio lazima.
 
hata kama sio wanawake wote lakini wengi wao ndio ishu zao hizi
 
Hela ya mwanamke ina matumizi mengi - zaidi ya mwanaume - issues kama kwenda saloon, kununua make ups - kutengeneza hair styles - ambazo wanawake wengine wanabadili kila wiki - pedicure - manucure etc. hivyo pamoja na kusaidiana kwenye familia - mwanamke anahitaji pochi iwe na hela kila mara - wanawake ni fragile vessels they have to be handled with care - mavazi yao - anavaa nguo ina-match na handbag, viatu, ear rings - bangles, lipstick, shadows - yaani ndio hivyo walivyoumbwa - WANAPENDEZA - ila kama ni ussue za kujenga nyumba, kununua chakula, kulipa ada etc. wote wanaweza kuchangia.
Na mambo ya outings - kama ni wachumba - sio lazima mwanaume anunue drinks/bits/chakula - hata mwanamke anaweza kutoa offer (kama anazo hela) SHIDA NI WANAUME HASA WA KIBONGO - INFERIORITY COMPLEX IMEWAZIDI - AKINUNULIWA ANAONA ANANYANYASWA - SO CULTURE NDIO INALETA TABU KWA WANAUME HATA KAMA HANA ATAENDA KUKOPA (shame) NA KUSEMA UONGO KUWA ANA HELA - TU IMPRESS THE FEMALE - wakati wanawake wengi wanahitaji UPENDO WA KWELI NA SIO PESA

Pia Gender equality imekuwa poor toka zamani - kumsomesha mtoto wa kiume na kumuandaa kuwa Boss na mtoto wa kike kumuandaa kuwa mama tu wa nyumbani - income inatofautiana sana - na mtoto wa kiume ndie anaandaliwa kujenga nyuimba, kununua gari etc. THANK GOD NOWADAYS THERE IS A BIG CHANGE SO SWALA LA KUWA WANAWAKE WANAPENDA KUPEWA TU HALIPO - LABDA KWA FACTOR YA KUWA WANAWAKE WANAPENDA KUPENDWA NA ALWAYS MWANAMKE HAPIGWI NA KOFI BALI NA NGUO/PESA/ZAWADI
 
Back
Top Bottom