ni hivi inategemea mwanaume mwingine tangia siku ya kwanza alishazoea kukupa hela kwa hiyo anakuzoesha.
Halafu kuna wanawake wengine unakuta unajiweza kujihudumua mahitaji yako lakini mpenzi, mchumba yeyote atakayekuwa anakwambia huduma zote ni juu yangu sitaki ujinunulie kitu chochote ukiwa na shida yoyote niambie, unafanya kazi lakini ukijinunulia kitu anakuuliza umepata wapi hela, si nilikwambia ukitaka kitu uniambie anakasirika sasa kwa nini nisile hela zake jamani?
Halafu kuna wanawake wengine unakuta unajiweza kujihudumua mahitaji yako lakini mpenzi, mchumba yeyote atakayekuwa anakwambia huduma zote ni juu yangu sitaki ujinunulie kitu chochote ukiwa na shida yoyote niambie, unafanya kazi lakini ukijinunulia kitu anakuuliza umepata wapi hela, si nilikwambia ukitaka kitu uniambie anakasirika sasa kwa nini nisile hela zake jamani?