Hahahahaa japo umenichamba,lakini ujumbe mzuri kwa kweli ..Umewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.
Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.
Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
Mimi nina sura ya makande mkuu[emoji23][emoji23]Ngoja maendisamu wenzako waje.
Ni kweli mkuu,Hapo ndio huwa naamini Mungu hakupi vyote.baron de montesque pole kama una ya sura ya makande! Mkuu, kidume mimi nashukuru Mungu Mwenyezi amenipa muonekano wangu wa kipekee. Najua kwenye mambo ya fedha nimechoka mbaya, lakini nashukuru huu muonekano wangu unanibeba, kweli kweli naheshimiwa sana na wanawake wakubwa kwa wadogo jaribu kufikiri kama ningekuwa na sura ya makande plus mifuko imetoboka sijui kama ningepata hata demu wa kupiga nae picha... Hivi leo na kesho mimi ningekuwa mgeni wa nani kwenye dunia hii.
Haha,hebu zilete hzo changamoto tuzitambueMahandsome tunapata tabu sana
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Humu humu,sheria na kanuni kufuatwasisi wenye sura kama masudi tunakomenti wapi?
Mkuu kwan HB ni lazima awe na babyface ?tehSasa mwenye sura ya dada mtu akiwa nae si ataona yuko na dada yake
Haha sura ngumu kama makandeUmewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.
Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.
Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
Umemsoma mtoa mada lakini? Amesema wenye sura za dada zaoMkuu kwan HB ni lazima awe na babyface ?teh
13SEPTEMBER
Habarini za mda,
Nilitaka kufahamu hivi ni kwa nini mtoto wa kiume/mwanaume akiwa handsome,
wanawake wengi wanawaogopa?
Na hata kama wakitaka kujenga relation na mademu linakuwa tatzo?
Utakuta baadh ya wanawake wanajikita sana kwenye suala la mazoea na sio mahusiano(relation)???
Tukijikita mbali,Jamii pia inawaangalia kwa jicho la tatu.why?????
Karibuni wanazengwe kwa maoni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimamo wako ww je?Umemsoma mtoa mada lakini? Amesema wenye sura za dada zao
SijuiMsimamo wako ww je?
13SEPTEMBER