Kwanini wanawake wanaamini wanaume wote ni sawa?

Kwanini wanawake wanaamini wanaume wote ni sawa?

Wanaume wanaumiza sana roho za wanawake walio wengi ... mwanaume atamnyanyasa mwanamke vile tu hajajaliwa mtoto, mwanaume atapenda kuwa na nyumba ndogo kwamba wewe humtoshelezi au umexpire, mwanaume akiamua kuacha mwanamke hatojali kama mwanamke huyo ana mtoto au watoto naye, mwanaume atamwambia mwanamke umezeeka utafikiri yeye anakuwa kijana, mwanaume ni kiumbe hodari wa kunyanyasa mwanamke mentally emotionally na physically. Kwa muhtasari huu ndio maana wanawake au kuna msemo 'wanaume wengi wanafanana' Wanawake wengi wanalia ndani ya mioyo yao kwa wanayopitia majumbani mwao. I dare to say 'Wanaume wengi kama si wote wanafanana baba yao mmoja'
Hii mada ukiianzisha haitaisha mpaka Yesu arudi.

Kuna watu wanajua kuchange kama wanawake?? Kuna wanaume wanateswa na wanawake huwezi amini ila tumeumbwa kuvumilia!! Huwa tunaishia kufa mapema

Ndiyo maana sitaki kuiendeleza hii mada ila wanawake ni hatari sana
 
Hii mada ukiianzisha haitaisha mpaka Yesu arudi.

Kuna watu wanajua kuchange kama wanawake?? Kuna wanaume wanateswa na wanawake huwezi amini ila tumeumbwa kuvumilia!! Huwa tunaishia kufa mapema

Ndiyo maana sitaki kuiendeleza hii mada ila wanawake ni hatari sana
Ndio maana nimetumia 'wanaume wengi kama sio wote' Ni sawa na upande wa wanawake 'Wanawake wengi kama sio wote'
 
Papuchi kwasababu papuchi ni mlango wa uhai na uhai unaanzia hapo (mimba inaingia kupitia papuchi na mtoto anazaliwa kupitia papuchi pia) na wengine uhai huishia kwenye papuchi (ugonjwa mfano ukimwi mtu anaupata kupitia papuchi au dushee na kifo kinaanzia safar yake hapo, pia kuna watu wamefia kwenye papuchi kwa presha,kufumaniwa,n.k)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanaume wanaumiza sana roho za wanawake walio wengi ... mwanaume atamnyanyasa mwanamke vile tu hajajaliwa mtoto, mwanaume atapenda kuwa na nyumba ndogo kwamba wewe humtoshelezi au umexpire, mwanaume akiamua kuacha mwanamke hatojali kama mwanamke huyo ana mtoto au watoto naye, mwanaume atamwambia mwanamke umezeeka utafikiri yeye anakuwa kijana, mwanaume ni kiumbe hodari wa kunyanyasa mwanamke mentally emotionally na physically. Kwa muhtasari huu ndio maana wanawake au kuna msemo 'wanaume wengi wanafanana' Wanawake wengi wanalia ndani ya mioyo yao kwa wanayopitia majumbani mwao. I dare to say 'Wanaume wengi kama si wote wanafanana baba yao mmoja'
Na mama yao mmoja
 
Mi sioni wote sawa, wala cjawah sema hyo kauli. Kila binadamu(mwanaume) ana strength na weakness yake tofaut na za mwenzake. The same kwa wanawake. We are different.
 
Utawasikia wanawake walisema wanaume wote ni sawa wakati mwingine husema Wanaume wote mwalimu wao mmoja.
Kwanini Mnaamini hivyo?
Wanawake naombeni jibu
Wanaume wote ni sawa kwakuwa baba wa nyumba shurti atoke akatafute mkate na ajue kulea familia
 
Alafu ukitongoza kizembe tu bla mpangilio lazma utaambiwa hvo
 
Hii mada ukiianzisha haitaisha mpaka Yesu arudi.

Kuna watu wanajua kuchange kama wanawake?? Kuna wanaume wanateswa na wanawake huwezi amini ila tumeumbwa kuvumilia!! Huwa tunaishia kufa mapema

Ndiyo maana sitaki kuiendeleza hii mada ila wanawake ni hatari sana
Mwanaume unateswa na mwanamke na unavumilia kwa amekuoa au
Unaish kwake wanaofanyiwa hv n wale
Wanaume wanaopenda mteremko
 
Mwanaume unateswa na mwanamke na unavumilia kwa amekuoa au
Unaish kwake wanaofanyiwa hv n wale
Wanaume wanaopenda mteremko

Wapo wenye hela zao na vyeo juu lakini ndoa zao ni chungu hazitamaniki na hawana la kufanya!!
 
Back
Top Bottom