Kwanini wanawake wanaamini wanaume wote ni sawa?

82a9cc5f2db1158a8aa4e484c2386002.jpg
Hapo kwenye 'ladies' angeweka 'women'...
 
Ni sawa na baadhi ya wanaume wanaosema" wanawake wote mwalimu wao kipofu" sijui huwa wanamaanisha nni
 
so kipi bora pesa au papuchi?
Papuchi kwasababu papuchi ni mlango wa uhai na uhai unaanzia hapo (mimba inaingia kupitia papuchi na mtoto anazaliwa kupitia papuchi pia) na wengine uhai huishia kwenye papuchi (ugonjwa mfano ukimwi mtu anaupata kupitia papuchi au dushee na kifo kinaanzia safar yake hapo, pia kuna watu wamefia kwenye papuchi kwa presha,kufumaniwa,n.k)
 
Mwanamke anayesema MANENO HAYO asilimia 90 ni wale WASIOTULIA NA BWANA MMOJA....lakini mwanamke UMKUTE BIKIRA...hajawahi KUGUSWA na mwanaume mwingine ATASEMAJE wanaume wote sawa...wakati hajawahi kumwona mwanaume mwingine zaidi ya bwana wake?ukisikia mwanamke anaongea hivyo JUA HATA IDADI YA WANAUME aliotoka nao INATISHA...na kote kaambulia PATUPU..
 
Wanaume wanaumiza sana roho za wanawake walio wengi ... mwanaume atamnyanyasa mwanamke vile tu hajajaliwa mtoto, mwanaume atapenda kuwa na nyumba ndogo kwamba wewe humtoshelezi au umexpire, mwanaume akiamua kuacha mwanamke hatojali kama mwanamke huyo ana mtoto au watoto naye, mwanaume atamwambia mwanamke umezeeka utafikiri yeye anakuwa kijana, mwanaume ni kiumbe hodari wa kunyanyasa mwanamke mentally emotionally na physically. Kwa muhtasari huu ndio maana wanawake au kuna msemo 'wanaume wengi wanafanana' Wanawake wengi wanalia ndani ya mioyo yao kwa wanayopitia majumbani mwao. I dare to say 'Wanaume wengi kama si wote wanafanana baba yao mmoja'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom