Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Mwanamke siku zote huwa anaamini kwamba mwanaume ndie atakaeanza kufa,
Kama unabisha mwambie mkeo "Hii Nyumba nataka kuiza"
Utasikia "Alafu Ukifa mimi Nitaishi wapi na wanao".
Sababu zipi zinazowafanya waamini kwamba wanaume ndio watakaoanza Kufa.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unabisha mwambie mkeo "Hii Nyumba nataka kuiza"
Utasikia "Alafu Ukifa mimi Nitaishi wapi na wanao".
Sababu zipi zinazowafanya waamini kwamba wanaume ndio watakaoanza Kufa.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app