Kwanini wanawake mnapenda kuuliza "umekula"?

Kwanini wanawake mnapenda kuuliza "umekula"?

Ukiulizwa hivi usidhani anakucare, ni anajocare mwenyewe coz usipokula anajuq utakuwa huwezi kumpa mambo ya uhakika
 
dah.....yaan mwingine ukimwambia najisikia vby...kila bada ya dk tano sm......hata kama kujali mh....too much
 
Habarini wakuu Nataka kujua kwanini hasa wanawake wanapendelea kuuliza maswali Haya kwa wapenzi wao au watu wa karibu
1.umekula? Ukisema ndio linafuata swali lingine la umekula nini au chakula gani?
2. Umepika? , umepika chakula gani?
Akina dada na wadau wengine nisaidieni maswali Haya yanatarget nini? Ina maana naweza jisahau kula? Au ndio chombeza za kuonyesha unajali au?

Na ninyi wanaume mnaopga simu usiku wa manane msipopokelewa mnadai ulikuwa na jamaa na ikipokelewa mnadai eee vp umelalaaa???
 
Raha ya upendo umpate anayejua maana la sivyo ndo haya mtu kuona kero kwa kuonyesha upendo
 
Masai dada umenena yaan hawa viumbe hawaeleweki ukifanya unasumbua usipofanya unao wengine unaowafanyia
 
Mwanaume anayejua thamani ya kupendwa hawezi kuona kero kuulizwa hili swali...!
 
Kwa sababu kupika mostly ni kazi ya ke so tunajua mkiwa wenyewe mnakuwa wavivu kula. Wanaume walio busy sana hawafikirii habari ya kula hasa mchana.At once nilikuwa nakaa karibu na kaka yangu yani unaweza umpelekee chakula mchana, jioni anarudi kiko vilevile so nikimpiiaga simu hasa mchana lazima nimulize kama amekula.
 
Me lazima niulize;

Uko wapi? Upo na nani? Unafanya nini? Umekula? Umekula nini? Mbona unaongea kwa wasiwasi? Aisee hadi utachoka mwenyewe

mimi huwa nainjoi hayo maswali......lazima niulizwe umekula coz anajua sipendi kula.
 
Back
Top Bottom