masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,825
- 16,903
Kwanza umekula au unasema tu serekali 3
sijala wewe??
Kwanza umekula au unasema tu serekali 3
Habarini wakuu Nataka kujua kwanini hasa wanawake wanapendelea kuuliza maswali Haya kwa wapenzi wao au watu wa karibu
1.umekula? Ukisema ndio linafuata swali lingine la umekula nini au chakula gani?
2. Umepika? , umepika chakula gani?
Akina dada na wadau wengine nisaidieni maswali Haya yanatarget nini? Ina maana naweza jisahau kula? Au ndio chombeza za kuonyesha unajali au?
sijala wewe??
Unataka uulizwe nini? Umet....?
Mimi nimefunga
Hii kaliKweli ganzi wakati wa tohara inafika mpake kwenye ubongo!!!!!
umefunga mkanda au mlango
Nimefunga kula nakunywa 2
kivipi na ili iweje na hizo 2 ni nini unachokunywa
Habarini wakuu Nataka kujua kwanini hasa wanawake wanapendelea kuuliza maswali Haya kwa wapenzi wao au watu wa karibu
1.umekula? Ukisema ndio linafuata swali lingine la umekula nini au chakula gani?
2. Umepika? , umepika chakula gani?
Akina dada na wadau wengine nisaidieni maswali Haya yanatarget nini? Ina maana naweza jisahau kula? Au ndio chombeza za kuonyesha unajali au?
Hahah simu yangu inafupisha wenyewe ukiandika tu inaandika 2
Habarini wakuu Nataka kujua kwanini hasa wanawake wanapendelea kuuliza maswali Haya kwa wapenzi wao au watu wa karibu
1.umekula? Ukisema ndio linafuata swali lingine la umekula nini au chakula gani?
2. Umepika? , umepika chakula gani?
Akina dada na wadau wengine nisaidieni maswali Haya yanatarget nini? Ina maana naweza jisahau kula? Au ndio chombeza za kuonyesha unajali au?