Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,688
Wanawake wengi ndio Wachawi mkuu.Hii mifano ya mtu mmoja mmoja kamwe haiwezi kunishawishi kuamini unachokisema kwamba ni wanawake pekee ndio wenye hizo tabia.
Tabia hizo haziangalii jinsia ya mtu kwa sababu kama ni uchawi hata baadhi wanaume wapo wachawi na kama roho mbaya hata baadhi ya wanaume wanazo roho mbaya.
Mmeshazowea kila siku "mzigo mzito kumpa mnyamwezi"