Memtata
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 624
- 1,918
- Thread starter
- #21
Yaani....! Kuna wakati bajeti yetu kwa mwezi ilikuwa lita5, siku moja nikaamua kupelekea ndoo ya lita10 mwezi mmoja ikakata 🤣Mafuta ya mboga ndo yananiachaga hoi aise sijui anatumiaje itabidi siku moja nijaribu kupika mimi maana nikiuliza naambiwa hivyo