Umeona mdogo wangu yaani kila kukicha mara nyuzi za kuombwa vocha ya buku mara elfu 10 yaani shida tupu.Hahaa.na hizi nyuzi za hivi ni nyingi kweli.
Unapo amua kutafuta starehe lazima na kukumbuka ghalama hao ndiyo kina marioo akipata mtelezo ndiyo anajituma kunako ili apate kuteleza upuuziAlafu eti ni elf 10 tu, huyo akikutana na wa kwetu huku anaweza kupiga yowe
Nikusaidie mkuuWakuu ni Baada ya kudate na kibinti cha jirani na home sasa kila siku anataka pesa si chini ya 10000 nikimagine hali ilivyokaza kama kiuno cha fisi nachizi imekuwa kero sana mtu anaona hali halisi lakini anakusanya mapato namna hii sijui la kufanya nisaidieni Idea nichanganye na zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jf hatari sana...elfu kumi tu unalia shekh?...wenzio tunahonga ma vx na hatulii
Mtukane mkuuWakuu ni Baada ya kudate na kibinti cha jirani na home sasa kila siku anataka pesa si chini ya 10000 nikimagine hali ilivyokaza kama kiuno cha fisi nachizi imekuwa kero sana mtu anaona hali halisi lakini anakusanya mapato namna hii sijui la kufanya nisaidieni Idea nichanganye na zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
akubali matokeo
Akikuomba tena mpe huu msemo ukipokea lazima na wewe unatoa nn?Wakuu ni Baada ya kudate na kibinti cha jirani na home sasa kila siku anataka pesa si chini ya 10000 nikimagine hali ilivyokaza kama kiuno cha fisi nachizi imekuwa kero sana mtu anaona hali halisi lakini anakusanya mapato namna hii sijui la kufanya nisaidieni Idea nichanganye na zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
naona vilio dizain hii hampendi kabisa kusikia teh..teh..teh..Khaa! Kila kukicha vilio vyenu ni kwenye pesa tu lol. Jifunzeni kuwa single yote haya yatakwisha.
Tunavipenda ila viwe na kiasi mkuu sio hata kwenye kitu kidogo bado tunaona vilio.naona vilio dizain hii hampendi kabisa kusikia teh..teh..teh..