Usipo mpa hiyo pesa inakuaje...janjaruka mkuu ...Wakuu ni Baada ya kudate na kibinti cha jirani na home sasa kila siku anataka pesa si chini ya 10000 nikimagine hali ilivyokaza kama kiuno cha fisi nachizi imekuwa kero sana mtu anaona hali halisi lakini anakusanya mapato namna hii sijui la kufanya nisaidieni Idea nichanganye na zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
ila na ninyi mnawapenda za akina marioUnapo amua kutafuta starehe lazima na kukumbuka ghalama hao ndiyo kina marioo akipata mtelezo ndiyo anajituma kunako ili apate kuteleza upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app