kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,285
Watu walimtafsiri vibaya tu.Dhana ya ndoa na familia katika Waraka wa Mtume Paulo kwa Waefeso
***************
Huyo jamaa hapo juu ndie alieleta habari za mke mmoja..sijui alilogagwa na nani huyu kilaza..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau naomba mje hapa, hebu tujadili mapenzi kwa nyanja tofauti. Kwanini wanaume wengi sikuizi wanachepuka sana? Unaweza kua mdada unachura kubwa, sura nzuri lakini limwanaume lenyewe halibebeki hata ulipe penzi gani. Hivi wanaume wana matatizo gani. Mianaume yenyewe ya sikuiz ni kimoja tu limechoka. Yaani ni kero
Bongo sihami ng'oo