Kwanini wanaume wengi siku hizi wanachepuka sana?

mchuziwapweza

Senior Member
Aug 19, 2018
107
149
Wadau naomba mje hapa, hebu tujadili mapenzi kwa nyanja tofauti. Kwanini wanaume wengi sikuizi wanachepuka sana? Unaweza kua mdada unachura kubwa, sura nzuri lakini limwanaume lenyewe halibebeki hata ulipe penzi gani. Hivi wanaume wana matatizo gani. Mianaume yenyewe ya sikuiz ni kimoja tu limechoka. Yaani ni kero

Bongo sihami ng'oo
 
Wadau naomba mje hapa, hebu tujadili mapenzi kwa nyanja tofauti. Kwanini wanaume wengi sikuizi wanachepuka sana? Unaweza kua mdada unachura kubwa, sura nzuri lakini limwanaume lenyewe halibebeki hata ulipe penzi gani. Hivi wanaume wana matatizo gani. Mianaume yenyewe ya sikuiz ni kimoja tu limechoka. Yaani ni kero

Bongo sihami ng'oo


Mwanaume yeyote rijali ni kama panya. Kila mara anatamani shimo jipya.

Mwanamke usipolitambua hilo utapata tabu sana !

-Kaveli-
 
Wadau naomba mje hapa, hebu tujadili mapenzi kwa nyanja tofauti. Kwanini wanaume wengi sikuizi wanachepuka sana? Unaweza kua mdada unachura kubwa, sura nzuri lakini limwanaume lenyewe halibebeki hata ulipe penzi gani. Hivi wanaume wana matatizo gani. Mianaume yenyewe ya sikuiz ni kimoja tu limechoka. Yaani ni kero

Bongo sihami ng'oo
Pole sana kama yamekukuta. Yakishakukuta uanajifunza na kuwafunza watoto wako na wapendwa wako wengine. Tunatakiwa kujifunza kutokana na makosa, lakini siyo lazima yawe makosa yetu wenyewe.

Ongeza udhibiti kwa mumeo/mpenzi. Usimwachie nafasi ya kuwa na loose time na michepuko. Kiwa na full access na via a vyake vyote vya mawasiliano. Hata akiwa safarini keep him busy and costantly watched.

Ambao hawajaingia kwenye mtego huo kwa hali ya kudumu, awe makini kutafuta mwenza anayefaa. Usiangalie mwonekano au hali ya mali, elimu au kazi. Tafuta compatible soul-mate. Mtakayewezana na kuelewana katika hali zenu halisi.

Wanawake siku hizi wanahangaika sana kutafuta wanaume za watu, hadi wanahonga na hata kuloga. Wamecharuka kuliko wakati mwingine wowote.

Wanawake msidanganyike na CHURA zenu au mwonekano mzuri wa sura na maumbile. Men need more than that from his wife/ girl friend. Men need care, passion and attention more than women.

Jitahidi kuwa mpya kila mara kwenye mahusiano yako. Usiache mambo yajiendee ili mradi. Wanaume wengi waliochepuka hufanya hivyo kwa kuzidiwa ujanja na michepuko, na wengi huishi kwa kujuta.

Msaidie mwenzio kutoka kwenye mitego kwa upole na akili. Ukiwa mkali sana unampoteza.

Nitarudi ukihitaji meneno ya nyongeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa na chura si sababu ya mwanaume kutotoka nje,
Kwa sababu wakati anakuoa yawezekana amekuoendea akili na si tako, kuna wanaume wengine hawataki matako makubwa anaona kero, lakini pia utamu unazidiana unaweza kukuta mtu hana tako lakini mashine inakamua kama mtu anakamua ng'ombe maziwa lazima usahau kalio tepwetepwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau naomba mje hapa, hebu tujadili mapenzi kwa nyanja tofauti. Kwanini wanaume wengi sikuizi wanachepuka sana? Unaweza kua mdada unachura kubwa, sura nzuri lakini limwanaume lenyewe halibebeki hata ulipe penzi gani. Hivi wanaume wana matatizo gani. Mianaume yenyewe ya sikuiz ni kimoja tu limechoka. Yaani ni kero

Bongo sihami ng'oo
Labda wanaume wa Dar hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka majibu ya swali lipi;-
1. Kwann wanaumme tunachepuka?
2. Kwann tunaishia goli moja?
3. Au unatupa mipasho ili tutoe maoni.
 
Back
Top Bottom