Kwanini wanaume wengi hawataki kuoa?

Kwanini wanaume wengi hawataki kuoa?

Kizoda

Senior Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
130
Reaction score
302
Mbona wanawake wanalalamika siku hizi kuwa hawaoni waoaji, kwani vipi wanaume siku hizi mnaogopa kuoa au ponyeto inafanya kazi uko kwenu?

Chukueni majiko bwana tupunguze idadi ya wanawake wengi ma single mitaani

Ila wanawake na Ninyi mmezidi bwana

Zile kauli zenu mnataka wanaume warefu zilishia wapi?

Yaani siku hizi imekuwa shida ukimtongoza mwanamke hapo hapo hivyo unakuwa mume
Na bado

Mpaka Neno la nabii isaya litimie :ISAYA 4

1Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
 
Mbona wanawake wana lalamika siku hizi kuwa hawaoni waoaji kwani vipi wanaume siku hizi mnaogopa kuoa au ponyeto inafanya kazi uko kwenu?

Chukuweni majiko bwana tupunguze idadi ya wanawake wengi ma sigle mitaani

Ila wanawake na Ninyi mmezidi bwana
Zile kauli zenu mnataka wanaume warefu zilishia wapi?
Yaani siku hizi imekuwa shida ukimtongoza mwanamke apo apo hivo unakuwa mume
Na bado

Mpaka Neno la nabii isaya litimie :ISAYA 4

1Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
Ah kumbe utabiri tayari upo....wacha niombe uhai nione hili likitimia...
 
Hela imeharibu sana maana ya ndoa, mademu wengi dream zao zipo kwenye mifuko ya wanaume na ndio maana wengine wanadanga mpaka kwenye ndoa, yaani mume anakuwa danga na si MWENZI wa maisha.

Hapo bado kuna wale wa 50/50 hawa ndio wanakutoa pumu ukiwaoa.

Hamna mtihani mgumu kwa mwanaume kama kupata mke mwema, huwaga naulizwa "utaoa lini " Jibu sina sababu najua vimeo ninavyokutana navyo ni full vichomi.

Huu utafiti wako unaweza kuwa kweli ktk kampuni tatu nilizofanya katika kitengo nilivyokuwa navifanyia kazi 70% hawajaoa na sidhani kama wana mpango japo wapo walio na watoto.
 
Siku hizi unaoa ili upate nini?

Kama ni mbususu zipo za kumwaga.

Kama ni mtoto unaweza kumpata hata bila kuoa.

Mapenzi menyewe yamegeuka na kuwa biashara.

Na ukijichanganya ukaoa hawa wasomi uchwara hawa wanaharakati ndo umekwisha kabisa.

Ni lazima kupiga mahesabu sana aisee vinginevyo ndoa siku hizi ni liability kubwa inayoweza kugharimu maisha yako....
IMG_20220407_151817_029.jpg
 
Mbona wanawake wanalalamika siku hizi kuwa hawaoni waoaji, kwani vipi wanaume siku hizi mnaogopa kuoa au ponyeto inafanya kazi uko kwenu?

Chukueni majiko bwana tupunguze idadi ya wanawake wengi ma single mitaani

Ila wanawake na Ninyi mmezidi bwana

Zile kauli zenu mnataka wanaume warefu zilishia wapi?

Yaani siku hizi imekuwa shida ukimtongoza mwanamke hapo hapo hivyo unakuwa mume
Na bado

Mpaka Neno la nabii isaya litimie :ISAYA 4

1Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
Hivi wanawake waliozalishwa nao ni sahihi kuwaita 'single'?
 
hamna ajira wakaoe wawalishe kokoto familia zao?

mambo ya nyuchi / vyumbani yanaaanikwa vibaya sana tena kwa sura mbaya.


stress za maisha, maisha kupinda ghafla.

n.k

matokeo yake wanaishi km digidigi.
 
Mbona wanawake wanalalamika siku hizi kuwa hawaoni waoaji, kwani vipi wanaume siku hizi mnaogopa kuoa au ponyeto inafanya kazi uko kwenu?

Chukueni majiko bwana tupunguze idadi ya wanawake wengi ma single mitaani

Ila wanawake na Ninyi mmezidi bwana

Zile kauli zenu mnataka wanaume warefu zilishia wapi?

Yaani siku hizi imekuwa shida ukimtongoza mwanamke hapo hapo hivyo unakuwa mume
Na bado

Mpaka Neno la nabii isaya litimie :ISAYA 4

1Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
Kwa nini aoe wakati anapata kila ambacho angetakiwa kukipata ndani ya ndoa kwa muda wowote ule anapohitaji? Aina ya maisha tunayoishi sasa hivi imeondoa umaana wa ndoa.....! Hao ambao hawajaoa wanapata mahitaji yote ambayo yanapatikana ndani ya ndoa.Sasa aoe kwa lipi?
 
Kiukweli wanaume wapo wadada msidanganyike.
Sio lazima muolewe na watanzania.
Ndio maana Mungu aliumba dunia na inapembe 4 za dunia

So wasiwatibue ...........
Kweli .....
Kama hakuna tz kuna east africa , kuna south Africa, kuna north africa , west africa, kuna america , kuna canada nchi zipo nyingi nawao wana south , east , west , north zote hizo lazima upate wako
 
Back
Top Bottom