Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 4,667
- 5,716
Unatuona watoto🤣🤏Sina hata muda na pupils
Unatuona watoto🤣🤏Sina hata muda na pupils
Kuzaliwa mwanaume we ujueJishugulishe,hela tuwape,bado na kileleni tuwapeleke?
Mume wangu amezaliwa mwaka 1947Tuanze na ww mmeo au mpenzi woko umewai kumshauri juu ya jambo ilo
Pupils kabisaUnatuona watoto🤣🤏
Mi nishagoma kuwafikisha,kama hawafiki watajua wenyeweKuzaliwa mwanaume we ujue
Kila kitu kqako kitakuwa ni taaabu
sauwaMi nishagoma kuwafikisha,kama hawafiki watajua wenyewe
we utaendelea kuchapiwa wa wanaume wa kweliNikupe hela,. Nikufikishe na kileleni bure!
Ukianzisha Safari hakikisha una nauli la sivyo haufiki uendako.
Tipeni hela
Ndio,wala sihangaiki Sasa hivi,natafuta hela tusauwa
SauwaNdio,wala sihangaiki Sasa hivi,natafuta hela tu
Cjapenda kabisaPupils kabisa
Kuna asiechapiwa?we utaendelea kuchapiwa wa wanaume wa kweli
Hakuna kikubwa mweshimiane😂Kuna asiechapiwa?
NdoivoHakuna kikubwa mweshimiane
Poyeeee na msibaCjapenda kabisa
Wapo kibaoKuna asiechapiwa?
Kama hana hisia na wewe kwanini umekaa nae au kumuoa?Ni ngumu kumfikisha mwanamke asiye na hisia nawe. Na pia anayedaiwa vikoba