Kwanini wanaume wanasumbuka sana ili mwanamke afike?

Kwanini wanaume wanasumbuka sana ili mwanamke afike?

Hivi nilisema kukuhitaji? Nilisema nitakuwa na matumizi na wewe, ni matumizi ya ushauri wa namna ya kumshawishi MO11 anifikishe kileleni.
kwa ushauri wa mahusiano yetu Daby hufai
Khaaah.
Sasa kilele chako na mmeo kinanihusu nini shemeji hadi unishirikishe pasipo kukionja.

Haya tu wewe.
utashindana lakini hautashinda
 
Ukiangalia Wanaume wanasumbuliwa zaidi na Mwanamke kutokufikia kileleni kuliko hata ya Mwanamke mwenyewe, kwa nini lakini? Kwa uzoefu wangu Wanawake wengi wala siyo ishu kihivyo, ...

Mtoa mada, ushawahi kufikishwa kileleni?
 
Khaaah.
Sasa kilele chako na mmeo kinanihusu nini shemeji hadi unishirikishe pasipo kukionja.

Haya tu wewe.
Shemeji si tunashauriana tu, huoni naikosa haki yangu ya msingi hapa!!!
 
Shemeji si tunashauriana tu, huoni naikosa haki yangu ya msingi hapa!!!
Hapo hamna ushauri zaidi ya kuja kwangu tu shemeji. Kilele changu cha evarest sio vilele vingine vya vichuguu
 
Hapo hamna ushauri zaidi ya kuja kwangu tu shemeji. Kilele changu cha evarest sio vilele vingine vya vichuguu
Shemeji huo sio ushauri niutakao kabisaaaa!! Dawa ya tatizo sio kukimbia tatizo
 
Mkuu huo ni uchoyo mridhishane wote nadhani ndio raha ya game ya kwenye uwanja wa fundi seremala
 
Wewe chapa mzigo, mwanamke usipomfikisha wewe kileleni atafikishwa na mwanaume mwingine. Ili Mradi wewe ushafanya yako
Utakua unamegewa kila siku na mafundi wa ma-love
 
Mimi hilo huwa halinihusu, Mimi nikifika tu mshindo wangu najishukia chini kimya kimya, kama yeye hajafika siyo tatizo langu, si tulianza pamoja? kwa nini asifike pamoja na mimi? Mwanamke haridhiki!
 
Utakua unamegewa kila siku na mafundi wa ma-love
Mimi sichungi kumegewa maana hata wakimega raha ni ile ile. ....mimi namvuruga tu kwa style zote ili Mradi awe mvumilivu wa mazoezi ya kuchapana
 
Mimi hilo huwa halinihusu, Mimi nikifika tu mshindo wangu najishukia chini kimya kimya, kama yeye hajafika siyo tatizo langu, si tulianza pamoja? kwa nini asifike pamoja na mimi? Mwanamke haridhiki!
Yap. ....wanawake wasijidekeze kwa kujifanya hawafiki vileleni. Napiga goli nne eti hafiki kileleni, huo itakuwa mzimu sio demu.
 
Back
Top Bottom