Kwanini wanaume wanasumbuka sana ili mwanamke afike?

Kwanini wanaume wanasumbuka sana ili mwanamke afike?

Hela utafute kwa jasho... Bado kuwaonga tuwaonge kitandan tena nihangaike no way...
 
Umpe pesa(umhonge), umpe nauli kuja na kurudi, umpe chakula na vinywaji...halafu uwe na jukumu la kumpandisha kitonga. Labda kwa wife, sio concubine!!!
Acha unyanyapaa.
 
Ukiangalia Wanaume wanasumbuliwa zaidi na Mwanamke kutokufikia kileleni kuliko hata ya Mwanamke mwenyewe, kwa nini lakini? Kwa uzoefu wangu Wanawake wengi wala siyo ishu kihivyo, ...
kweli kabisa, ila akifikishwa na mtu huko barabarani ndio utanena kwa lugha!
Men are conquerors, na huwezi kuteka himaya kama hujaimiliki, na kummiliki mwanamke ni kwa kumtimizia haja zake, yaani hata kama mke kakuzidi mshahara, kidume ndiye utakayehudumia nyumba Zaidi, watoto watapewa majina yako, dini yako na kabila lako!
una miliki kila kitu katika familia, kwanini sasa usimiliki na utamu ndani ya nyumba?
kweli kabisa, kushindwa kumfikisha kileleni mama wa nyumba ni very disturbing kwa mwanaume kama ilivyo kushindwa kuleta chakula home!
 
M sometmz nikishafikaga mshindo namwambia utamaliza mwenyewe maana ninashughuli zangu nawah nasepa"
 
Kileleni hata wenyewe hawana mzuka ..mwenye mzuka wa kufika mbona mnafika tu nyote wengine hawana hata shida ya kufika huko.
 
Mwanaume ukishamwaga chomoa,mambo ya kulazimisha kufikisha mtu kileleni na misupu yenu ya pweza,mihogo mibichi,karanga etc ndo mnapata tezi dume na busha,hasa wana Dar es salaam
 
Bro hivi na wale wa kona Bar nao wanafikishwa kileleni? Make yawezekana ndo sample ulizofanyia Reaserch...ila Raha zaid ni pale na mwanamke mwenyewe naye atataka afike uko kileleni..ila siyo yule anaye kaa kama gar la Manual...haina tofauti na kudandia gari kwa mteremko
 
Ukiangalia Wanaume wanasumbuliwa zaidi na Mwanamke kutokufikia kileleni kuliko hata ya Mwanamke mwenyewe, kwa nini lakini? Kwa uzoefu wangu Wanawake wengi wala siyo ishu kihivyo, ...
Kwa hiyo ww hupendi kufika kibo ña mawenzi? Haya basi ngoja nije nikushushe maana hapo nahisi nimekuacha kibo.
 
Ila eti niulize maana kuuliza sio ushamba. Hataki kukufikisha kisa pumzi yake ndogo au ubinafsi?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kaone!!
 
kweli kabisa, ila akifikishwa na mtu huko barabarani ndio utanena kwa lugha!
Men are conquerors, na huwezi kuteka himaya kama hujaimiliki, na kummiliki mwanamke ni kwa kumtimizia haja zake, yaani hata kama mke kakuzidi mshahara, kidume ndiye utakayehudumia nyumba Zaidi, watoto watapewa majina yako, dini yako na kabila lako!
una miliki kila kitu katika familia, kwanini sasa usimiliki na utamu ndani ya nyumba?
kweli kabisa, kushindwa kumfikisha kileleni mama wa nyumba ni very disturbing kwa mwanaume kama ilivyo kushindwa kuleta chakula home!


Vipi kama Mwanamke hajakupenda? Kwa maana kama hajakupenda hawezi kufika!
 
Back
Top Bottom