Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,610
Piga kaaazi baba usisikie maneno we chapa papuchi upendavyo
Ukimpenda mwanaume huwezi kukumbuka ni mara ngapi kakufikisha kileleni. Mda wote ni kileleni tu.
Wanawake ndivyo tulivyo. Kama umpendi mda wote unawaza si litoke tuuu!
Duuuh pesa INA nguvu kuliko hisiaSio kila mwanamke anafika kileleni,kuna wengine wanajifikisha ili mradi atue mzigo(mwili wenu) . akuibie(akuchune pesa ndefu) ujione kidume umemuweza kweli kumbe walaa anakuchora tu.
Umalize haraka aende zake au akafanye shughuli nyingine
Duuuh pesa INA nguvu kuliko hisia
SawaPesa sabuni ya roho ila hainunui furaha na amani ya moyo
Nimekuelewa mkuu. Unakuta mtu kaonga ela bado anakomaa kumridhisha mwanamke, mi kama kuku tumoja ya vitu ambavyo havina umuhimu ni kumfikisha mwanamke kileleni
Sasa unajiombea badala uniombee maana kilele nitakisikia tu[emoji134] [emoji134]Kwa jina la baba na mwana....
Baba ulisema na aombaye atapewa.
Aliye na tumaini atatumanika.
Aliye na imani atapona.
Nifungulie milango ya moyo huu kama ulivyofanya kwa Paulo na sila baba.
Kwa hiyo shemeji kileleni unakisikia tu humu jukwaani!Sasa unajiombea badala uniombee maana kilele nitakisikia tu[emoji134] [emoji134]
Niache nilale tu kwakweli.[emoji24] [emoji24] [emoji24]tutayaongea baadae
Yaani acha tu shemeji yangu, hapa nina majonzi hatari.Kwa hiyo shemeji kileleni unakisikia tu humu jukwaani!
Sasa kama anashindwa kukufikisha hiki kisicho na nauli je cha pesa unafika kweli?