Kwanini wanaume wanasuka nywele?

Mie napenda wanaosokota dreads kama master j.
 
Hakuna dume rijali lilokamilika haswaaaaa likaketi chini kitako Eti linasubiria kusukwa LOL wanaume wanaosuka wote ni mashoga tú

Hapo umeseme ukweli dume zima na ndevu kama mimi unaweka makalio chini usukwe una mapungufu, kuiga utamaduni wa nje naomba m7 aongeze hilo kuvaa hereni n kusuka jela 20yrs ndio dawa yao
 
Kwan hujui siku hizi wanaume nao wanataka waolewee
 
Fashion zingine ni identities, so sishangai asilimia kubwa ya wanaume wanaosuka kuwa ni mabwabwa
 
Kama nilivyosema awali mimi siyo mzoefu na usukaji wa nywele kwa wanaume. Hivyo hizo tofauti unazoongelea sizijui wala siwezi kuzigundua nikikutana na mwanaume aliyesuka. Lakini bado nina shauku ya kujua ni nini hasa kinamsukuma mwanaume wa kawaida aamue kusuka na ajione amependeza zaidi kwa sababu tu amefanya hivyo!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…