Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Hii ni tabia mbaya sana, jibaba jitu zima, unanunua krimu, ma diprozoni na makaroraiti halafu unayapaka usoni kwwako ili uwe mweupe.
Wasanii na watangazaji na mapedeshee ndio mnaoongoza.
Je kwanini ujichubue? Kwani ukiendelea kuwa mweusi hupati wanawake?
Wasanii na watangazaji na mapedeshee ndio mnaoongoza.
Je kwanini ujichubue? Kwani ukiendelea kuwa mweusi hupati wanawake?