Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Labda waende mjini maana wakibaki kule maskan mwanamke anakuwa mgumu kuliko hata mwanaume kwa sababu ya kazi na majukumu ya malezi ...kama kwenda shamban kule n kazi ya wanawake wanaume wanasema hawawez kulima
Unakuta mwanaume anazunguka na panga tu mkononi hakuna cha maana
 
Akifika mjini wanawasahau wanazuzuka na wavaa mawigi nakuwaona wake zao sura ngumu kwahiyo ni abiria chunga mzigo wako
Yaan sahivi wamefunguka akili hakuna kuibiwa tena... Wanaletewa na magonjwa wanakufa bila hatia
Kuna mzee alikuwa anakaa town hivo anamuacha mke wake home kule kwa miaka mingi tu akafariki siku anazikwa walikuja watoto wa kutosha na wengine wamama wanadai mume wetu amefariki yaan ilikuwa balaa tupu baada ya miaka miwili mke wake na mchepuko mmoja wakafuata maana alifariki kwa ngwengwe
 
Siku hizi akienda mara 2 tu ana anza kumzarau mke na kuzaa tayari na mchepuko
Yeah, anamuonyeshea mke kuwa yeye kuna vitu hajui,maana michepuko wanafanya baadhi ya mambo ambayo si rahisi mke kufanya
 
Yaan sahivi wamefunguka akili hakuna kuibiwa tena... Wanaletewa na magonjwa wanakufa bila hatia
Kuna mzee alikuwa anakaa town hivo anamuacha mke wake home kule kwa miaka mingi tu akafariki siku anazikwa walikuja watoto wa kutosha na wengine wamama wanadai mume wetu amefariki yaan ilikuwa balaa tupu baada ya miaka miwili mke wake na mchepuko mmoja wakafuata maana alifariki kwa ngwengwe
Unaona eee mke katulia huko Baba kaenda kutafuta, naye akiwa huko hakai na mtu 1 na michepuko inakuwa na matawi hapo hamjabeba vyakubeba na hii tabia wazee mwisho reli migebuka ndiyo zao kuacha wake zao kazi nikwenda kutungisha mimba tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unaona eee mke katulia huko Baba kaenda kutafuta, naye akiwa huko hakai na mtu 1 na michepuko inakuwa na matawi hapo hamjabeba vyakubeba na hii tabia wazee mwisho reli migebuka ndiyo zao kuacha wake zao kazi nikwenda kutungisha mimba tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahhhahahahaha ni balaa haya mambo sijui wamama walikuwa wanavumiliaje

Yaan walikuja watoto wengi ilikuwa heka heka halafu na michepuko ya kutosha wenyewe kila mtu anadai mume wake amefariki na amemwachia watoto yaan mke wake alichoka
 
Si wanaume pekeyao hata wanawake wanapitia mengi wanavumilia , wakati mwingine wanaume huanza wao siku wake wakichoka basi mwanaume anaanza kulia mke wangu kakengeuka
Issue kubwa wanawake wanadhani kila mwanaume anachepuka ,mfano wa hawa washikaji zangu,hata kama wanachepuka ni kwausili mkubwa yaani hatujawahi kukaa nikasikia wanapiga hata story kuhusu wanawake
hawa jamaa wamepata mkosi wa kuoa wanawake wasiopenda familia ,yaani jamaa kama unavyojua familia za kimasikini anachomoka mtoto mmoja ambae ndio kimbilio la familia .wakapata wanawake ambao baadala ya kuunganisah familia wao ni kubomoa hataki kuona jamaa anatoa msaada kwao ,hataki kuona ndugu wanakuja kwake ....

Huyu mwingine ni mshikaji wangu toka tukiwa na miaka 5,tumecheza michezo yote ya utoto tumekua mkoani,tuakopteana kutoakana na harakati za maisha tukakutana ukubwani mjini,nikamwambia wewe ni ndugu yangu tutafute location mjini tuweke vibanda kweli bwana nyumba yake na nyumba yangu tumepakana ,ndani kwake nimeingia kama mara mbili ,mke wake ni matata sana ,jamaa anakonda kila siku anatoka kipara tu.Mshikaji ni mkimya sijawahi ona jamaa kama huyo.kwa ufupi familia zetu hazina muingiliano.halafu kitu cha kushangaza kama tulivyojenga mjini na kwetu mkoani tuko hivyo yaani tunatengwa na ukuta,Bmama alitoka mkoa akakuta tunavyoishi na jamaa akasikitika sana
 
MHhn!!""Ljungberg Kluivert Reasearch Center na Hu Ah Wei Statistics Bureau"...naomba pronunciation yake mkuu kwa maana Duu!!😒😒
 
Back
Top Bottom