Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Issue hapa siyo hata 50 /50 ila tu walishagundua wanaibiwa...we n ndoa gani mume anakaa arusha mke rombo miaka 15???
Mshiki taratibu, huko kote ni kutafuta huku tukibana matumizi mshiki, ni wasiwasi wenu tu, sisi ni waaminifu sana.
Mimi nilikaa 6yrs na hakikutokea chochote kibaya.
 
Mshiki taratibu, huko kote ni kutafuta huku tukibana matumizi mshiki, ni wasiwasi wenu tu, sisi ni waaminifu sana.
Mimi nilikaa 6yrs na hakikutokea chochote kibaya.
Yaan msasha me mtu hanidanganyi..... wanaume wanasemaga hawawezi kukaa tu kwa miaka yote hiyo na ndiyo maana wamama wa sahiv wameshtuka ila wale wanaume wa zaman walikuwa wanaweza na ndoa zilikuwa sawa ...hawa wa sahivi hata mtu akiwa anaishi na mke wake anakwambia lazima achepuke eti mke mmoja hatoshi sembuse akiwa Mombasa bila mke wake kwa miaka 6??????
 
Yaan msasha me mtu hanidanganyi..... wanaume wanasemaga hawawezi kukaa tu kwa miaka yote hiyo na ndiyo maana wamama wa sahiv wameshtuka ila wale wanaume wa zaman walikuwa wanaweza na ndoa zilikuwa sawa ...hawa wa sahivi hata mtu akiwa anaishi na mke wake anakwambia lazima achepuke eti mke mmoja hatoshi sembuse akiwa Mombasa bila mke wake kwa miaka 6??????
Aisee, kumbe wa zamani tulikua tunaweza, mimi nilifikiri mambo yako kama zamani, inaonyesha vijana wa sasa wako active kwelikweli.
 
Aisee, kumbe wa zamani tulikua tunaweza, mimi nilifikiri mambo yako kama zamani, inaonyesha vijana wa sasa wako active kwelikweli.
Sahivi wanasemaga hakuna mwanaume anayeweza kuwa na mwanamke mmoja na wenye distance love tunajidanganya maana hakuna mwanaume anayeweza ishi bila tendo ...me sijui zaman mliwezaje
 
Utafiti uliofanywa na Ljungberg Kluivert Reasearch Center na Hu Ah Wei Statistics Bureau ulionyesha kua kwa wastani kabla ya ndoa mwanaume hutoa lita moja ya manii kwa wiki mbili.

Baada ya ndoa hutoa lita kumi (ndoo ndogo) ya manii kwa wiki mbili.

Go figure.
Duuh aisee
 
Mkuu mi senior bachelor,nimeleta hili nipate experience cos soon naingia huko
Ahaah, hakika umefikiria kufanya jambo jema, hizo picha na hayo maneno yametengenezwa na senior bachelor wenzio ili chama chao kisiyumbe.
Hebu jaribu kuangalia picha za baba yako na mama yako toka wakiwa vijana mpaka wanazeeka (kama zipo), nafikiri hapa utatambua kampeni yao.

Nb:-
Maandiko yanasema mke MWEMA, anapatikana kwa Bwana, kila la kheri na karibu chamani.
 
Back
Top Bottom