Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Ahaah, hakika umefikiria kufanya jambo jema, hizo picha na hayo maneno yametengenezwa na senior bachelor wenzio ili chama chao kisiyumbe.
Hebu jaribu kuangalia picha za baba yako na mama yako toka wakiwa vijana mpaka wanazeeka (kama zipo), nafikiri hapa utatambua kampeni yao.

Nb:-
Maandiko yanasema mke MWEMA, anapatikana kwa Bwana, kila la kheri na karibu chamani.
Asante,najua Mungu nimwema atanipa wa kufanana naye....sijawahi kutotaka kuoa Mkuu ni muda tu niliona niwe na maandalizi Kiasi fulani nisisumbue watu michango
 
Khaaa!!
Passportsize hutaki na vyeti vilivyopitia mahakaman?

Huyo atakuwa mshauri wangu
Hahaha, inaonyesha una eksiperiensi kwenye kuchepuka, hayo mengine utayajua baada ya kuleta hiyo barua, kuna fomu utapewa ujaze na ndio hiyo utaambatanisha na full pictures zikiwa zimepigwa kwa mapozi ya kuvutia (lile la kugeuka nyuma ni compulsory)[emoji39]
 
Hahaha, inaonyesha una eksiperiensi kwenye kuchepuka, hayo mengine utayajua baada ya kuleta hiyo barua, kuna fomu utapewa ujaze na ndio hiyo utaambatanisha na full pictures zikiwa zimepigwa kwa mapozi ya kuvutia (lile la kugeuka nyuma ni compulsory)[emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kupata mke sahihi ni kama kuzamisha mkono kwenye shimo hujui utatoka na nini,ni zaidi ya mchezo wa biko/sport pesa
Kabla hujaoa /kuolewa omba sana Mungu akupe mke/mume bora,
washikaji zangu kama wawili wanatoka vipara kutokana na stress za wake zao jamaa wakikupa story zao inasikitisha sema ndio vile wanaume tumeumbwa na mioyo ya chuma
 
Hahaahhahahah mm sina wasiwasi msasha maana umeshanihakikishia....ila nakuchabo tu hapa kwa comments zako fulan fulan angalia vizur nisijemwambia wifi nikaharibu
Hahaha wasiwasi ondoa mshiki, wanaume waaminifu bado tupo wengi tu, sema tukiwaambia hamuamini.
 
Mada za jf zinazohusu ndoa nyingi zipo negative tofauti na uhalisia..binafsi wakaka wengi ninaowafahamu wamependeza na kuvutia baada ya kuoa.
Ukilamba asali kwa aibu lazima upaliwe.
Hao wanaokonda wanapanda miti ya miiba wakijindanganya ni miti ya matunda
 
kupata mke sahihi ni kama kuzamisha mkono kwenye shimo hujui utatoka na nini,ni zaidi ya mchezo wa biko/sport pesa
Kabla hujaoa /kuolewa omba sana Mungu akupe mke/mume bora,
washikaji zangu kama wawili wanatoka vipara kutokana na stress za wake zao jamaa wakikupa story zao inasikitisha sema ndio vile wanaume tumeumbwa na mioyo ya chuma
Si wanaume pekeyao hata wanawake wanapitia mengi wanavumilia , wakati mwingine wanaume huanza wao siku wake wakichoka basi mwanaume anaanza kulia mke wangu kakengeuka
 
Back
Top Bottom