Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Yesu akasasema "asiye na dhambi na awe wa kwanza kutupa jiwe, baada ya kusikia hivyo wote wakatawanyika wakaenda zao"
Dhambi ninazo ila siko tayari kujihusisha na dhambi zenu za kuchepuka/kuchepusha/kuchepushwa na kuchepushana![emoji57]
 
Ukitaka kuishi miaka mingi, usione.. ila ukisha ona ukiachana na mkeo utakua na maisha mabovu kuliko ya ndoa.
 
Back
Top Bottom